Nimeona habari hii
Barua ya ada yawatibua wamiliki shule binafsi
Kila mara serikali inapojaribu ku regulate sekta hii kumekuwa figisu kwelikweli.
Wamiliki wa shule hizi wanajua kuwa sekta zingine zote ziko regulated? Je wanajua wanetu wanapotakiwa kwenda na penseli mbili mbili kila mwezi, vifutio viwili viwili kila mwezi, madaftari duplicate mpaka ya mwalimu kimsingi tunakwazika sana basi tu?
Vipi michango hadi ya mishahara ya walinzi?
Yote bila ya kuongelea ada za shule hizi ambazo kindergarten tu mostly ni juu kuliko ada ya chuo kikuu?
Ndiyo maana kwa upande kwingine serikali ina point kuzuia mikopo kwa waliosomeshwa shule binafsi.
Barua ya ada yawatibua wamiliki shule binafsi
Kila mara serikali inapojaribu ku regulate sekta hii kumekuwa figisu kwelikweli.
Wamiliki wa shule hizi wanajua kuwa sekta zingine zote ziko regulated? Je wanajua wanetu wanapotakiwa kwenda na penseli mbili mbili kila mwezi, vifutio viwili viwili kila mwezi, madaftari duplicate mpaka ya mwalimu kimsingi tunakwazika sana basi tu?
Vipi michango hadi ya mishahara ya walinzi?
Yote bila ya kuongelea ada za shule hizi ambazo kindergarten tu mostly ni juu kuliko ada ya chuo kikuu?
Ndiyo maana kwa upande kwingine serikali ina point kuzuia mikopo kwa waliosomeshwa shule binafsi.