ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,650
- 57,043
Kuna mashariki ya congo yaani Rwanda na sudan.na kuna mashariki ya kati hii migogoro Toka nazaliwa naikuta.. mashariki ya congo anakula Belgium Yuko mezani na washirika wake wa ulaya..
Mashariki ya Africa ni kwa UK
MASHARIKI YA KATI NO CHIMBO LA USA JE ANACHUKUA NINI PALE TUJIULIZE KUPITIA ISRAEL?
Mashariki ya Africa ni kwa UK
MASHARIKI YA KATI NO CHIMBO LA USA JE ANACHUKUA NINI PALE TUJIULIZE KUPITIA ISRAEL?