Kuna nini, Kosa gani linafanyika Tanzania?

MPadmire

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
3,928
3,225
Mawaziri wameingiwa na woga
Wafanyakazi wamepumbazika na kuduwaa...
Wasomi wako kimya --- Woga
Wachumi ni wachumia tumbo....njaa imo kichwani...Principle za uchumi ziko wapi?

Serikali inafanya siasa kila kitu....

Mapendekezo ya kufanya: Huwa silalamiki tu, huwa nina majibu.

1 - Serikali ijenge miundo mbinu ya Kilimo cha Umwagiliaji (Yaani budget ya Kilimo cha umwagiliaji iwe kama Budget ya Barabara na madaraja...)

Mashamba yenye rutuba yapo...

2- kwenye kilimo, serikali isitegemee wawekezaji....Nguvu kazi ya Watanzania itumike

Sasa nini Maana ya kuwa na SUA, LITI (Vyuo vya mifugo na Kilimo)..?

3 - Kukuza utalii kwa nguvu zote....

Kufungua southern circuit mpaka Mbeya, Songea

4 - Kufufua Zao la Kahawa na kuuza kwa wingi nje

5- Kuuza mazao nje ya nchi kama South Sudan, Ethiopia, Somalia, na Kenya


Kwa mapendekezo hayo hapo juu...VIWANDA vitakuja vyenyewe tu, kutakuwa hakuna nguvu kubwa ya kutangaza Tanzania ya Viwanda....

Acheni siasa, watanzania wanataka uchumi imara, shillingi bora, bei nafuu na huduma bora za afya...

Acheni kufukuzana na Akina LEMA na Tundu Lisu

CCM Fanyeni Mema na kukuza uchumi....Mkileta maisha bora kwa wananchi na wananchi wakaona....mtachaguliwa tu. CCM mtachaguliwa bila nguvu ya polisi wala kuiba kura...
 
Mkuu watu sasa hivi wanamjadili Wema na Makonda!

Nchi ya ajabu sana hii yani hata wapinzani sasa hivi wanageuzwa kama chapati! Wanabadilishiwa singo kama wapiga singeli.

Upumbavu mtupu!
 
Tatizo ni umasikini!!!! Wasomi unao wasema wengi wametoka familiar duni, viajira ndio mahala pekee pakusaidia jamii yake so no way out hawezi hoji kinachoendelea atafata tu
 
Dah mkuu umeongea tru I wish hayo mawazo yko magu ayasikie kwa nn tusiwekeza kwa nguv zte kwny kilimo viwanda vitakuja tu automatic jamani Hata kwny histry tumesoma agrarian revolution ikapelekea industrial revolution so serikal jaman kilimo kwanza
 
Dah mkuu umeongea tru I wish hayo mawazo yko magu ayasikie kwa nn tusiwekeza kwa nguv zte kwny kilimo viwanda vitakuja tu automatic jamani Hata kwny histry tumesoma agrarian revolution ikapelekea industrial revolution so serikal jaman kilimo kwanza
Ndiyo matatizo ya kudili na wapinzani badala ya kutafuta mawazo chanya ya watz wowote bila kujali chama maana nchi hii no yetu site na kuyafanyia kazi ili tisonge mbele. Upinzani sio uadui
 
Hawa watu hawatakuelewa......mpaka sasa haijulikani nchi inakwenda wapi,kazi(sema hapa kazi tu) bila malengo ni kazi bure
 
Dah mkuu umeongea tru I wish hayo mawazo yko magu ayasikie kwa nn tusiwekeza kwa nguv zte kwny kilimo viwanda vitakuja tu automatic jamani Hata kwny histry tumesoma agrarian revolution ikapelekea industrial revolution so serikal jaman kilimo kwanza

Bishororo asante sana....Wewe umesoma na unajua nini namaanisha.

Ni kweli Tumesoma Historia na Geographia....

Nchi zilianza kwa kutengeneza Malighafi nyingi...halafu ndo viwanda vikaja.

malighafi kuu kwa sasa ni Mazao na mifugo....

Soko la Vyakula ni kubwa sana.....Ethiopia, Kenya, Sudan na Somalia

Sasa kwa nini Tanzania kuwe na njaa eti,...aibu....Maziwa, Mito na maporomoko ya maji tunayo....Ardhi tunayo

Njaa njaaa....Mabishano...kuna njaa----hakuna njaa yametoka wapi....

Watanzania wapo tayari kufanya kazi....Budget ya Kilimo iwe kubwa....Na Agricultural engineering wataalamu wapo kibao

Kwani Egypt, Israel, wanafanyaje?

Sasa Hivi USA wanauza mahindi mengi sana America ya Kusini
 
Hawa watu hawatakuelewa......mpaka sasa haijulikani nchi inakwenda wapi,kazi(sema hapa kazi tu) bila malengo ni kazi bure

Watu wanatakiwa kufanya kazi ndio....Sasa kazi ziko wapi?

Serikali ijenge miundo mbinu ya umwagiliaji..

Badala yake wanajenga vitu vya sifa mijini...Airports, Fly Overs, Majengo marefu....sifa za kijinga

Jengeni miundo mbinu ya umwagiliaji

Hayo maAirport ya nini? Watanzania wangapi wanapesa za kupanda ndege?

Hao watalii wako wapi na ma VAT yenu mwendo kasi
 
Wadanganyika... Ukiwajulia unawapeleka unavyotaka... Long live our Nation.
 
Bishororo asante sana....Wewe umesoma na unajua nini namaanisha.

Ni kweli Tumesoma Historia na Geographia....

Nchi zilianza kwa kutengeneza Malighafi nyingi...halafu ndo viwanda vikaja.

malighafi kuu kwa sasa ni Mazao na mifugo....

Soko la Vyakula ni kubwa sana.....Ethiopia, Kenya, Sudan na Somalia

Sasa kwa nini Tanzania kuwe na njaa eti,...aibu....Maziwa, Mito na maporomoko ya maji tunayo....Ardhi tunayo

Njaa njaaa....Mabishano...kuna njaa----hakuna njaa yametoka wapi....

Watanzania wapo tayari kufanya kazi....Budget ya Kilimo iwe kubwa....Na Agricultural engineering wataalamu wapo kibao

Kwani Egypt, Israel, wanafanyaje?

Sasa Hivi USA wanauza mahindi mengi sana America ya Kusini
Mi Naona serikali ingetumia fursa zilizopo Kwnye maeneo ambyo Bado ni makubwa na yana rutuba pia na nguvu kazi tena vijana wengi hawana ajira ingetenga kias kikubwa cha fedha katika kilimo kwa kuhimiza kilimo cha kisasa na umwagiliaji kwa nguvu zte na kuachana kwanza na mambo ya viwanda ambayo kwa tz Bado sana itachukua mda kwa kufanya ivo vijana weng watapata ajira,mazao yataongeza pmj na exportation,pato la taifa litaongezeka na baada ya mda mfup nakwambia viwanda vyeyew vitajileta nawambieni ......
 
Mawaziri wameingiwa na woga
Wafanyakazi wamepumbazika na kuduwaa...
Wasomi wako kimya --- Woga
Wachumi ni wachumia tumbo....njaa imo kichwani...Principle za uchumi ziko wapi?

Serikali inafanya siasa kila kitu....

Mapendekezo ya kufanya: Huwa silalamiki tu, huwa nina majibu.

1 - Serikali ijenge miundo mbinu ya Kilimo cha Umwagiliaji (Yaani budget ya Kilimo cha umwagiliaji iwe kama Budget ya Barabara na madaraja...)

Mashamba yenye rutuba yapo...

2- kwenye kilimo, serikali isitegemee wawekezaji....Nguvu kazi ya Watanzania itumike

Sasa nini Maana ya kuwa na SUA, LITI (Vyuo vya mifugo na Kilimo)..?

3 - Kukuza utalii kwa nguvu zote....

Kufungua southern circuit mpaka Mbeya, Songea

4 - Kufufua Zao la Kahawa na kuuza kwa wingi nje

5- Kuuza mazao nje ya nchi kama South Sudan, Ethiopia, Somalia, na Kenya


Kwa mapendekezo hayo hapo juu...VIWANDA vitakuja vyenyewe tu, kutakuwa hakuna nguvu kubwa ya kutangaza Tanzania ya Viwanda....

Acheni siasa, watanzania wanataka uchumi imara, shillingi bora, bei nafuu na huduma bora za afya...

Acheni kufukuzana na Akina LEMA na Tundu Lisu

CCM Fanyeni Mema na kukuza uchumi....Mkileta maisha bora kwa wananchi na wananchi wakaona....mtachaguliwa tu. CCM mtachaguliwa bila nguvu ya polisi wala kuiba kura...
Roho mbaya na kisasi wamwachie nani?
 
Screenshot_2017-02-23-21-22-33.png
 
Mawaziri wameingiwa na woga
Wafanyakazi wamepumbazika na kuduwaa...
Wasomi wako kimya --- Woga
Wachumi ni wachumia tumbo....njaa imo kichwani...Principle za uchumi ziko wapi?

Serikali inafanya siasa kila kitu....

Mapendekezo ya kufanya: Huwa silalamiki tu, huwa nina majibu.

1 - Serikali ijenge miundo mbinu ya Kilimo cha Umwagiliaji (Yaani budget ya Kilimo cha umwagiliaji iwe kama Budget ya Barabara na madaraja...)

Mashamba yenye rutuba yapo...

2- kwenye kilimo, serikali isitegemee wawekezaji....Nguvu kazi ya Watanzania itumike

Sasa nini Maana ya kuwa na SUA, LITI (Vyuo vya mifugo na Kilimo)..?

3 - Kukuza utalii kwa nguvu zote....

Kufungua southern circuit mpaka Mbeya, Songea

4 - Kufufua Zao la Kahawa na kuuza kwa wingi nje

5- Kuuza mazao nje ya nchi kama South Sudan, Ethiopia, Somalia, na Kenya


Kwa mapendekezo hayo hapo juu...VIWANDA vitakuja vyenyewe tu, kutakuwa hakuna nguvu kubwa ya kutangaza Tanzania ya Viwanda....

Acheni siasa, watanzania wanataka uchumi imara, shillingi bora, bei nafuu na huduma bora za afya...

Acheni kufukuzana na Akina LEMA na Tundu Lisu

CCM Fanyeni Mema na kukuza uchumi....Mkileta maisha bora kwa wananchi na wananchi wakaona....mtachaguliwa tu. CCM mtachaguliwa bila nguvu ya polisi wala kuiba kura...
Kipande cha siasa na vyama kidogo kiharibu wazo kuu. Ila umenena vema sana, wananchi tunahitaji maisha bora sio kila siku vitisho na matamko yasio na uhalisia.
 
Zile page zetu kwenye FACEBOOK, kuna ile PAGE TANZAlight..**

Wale hawana lolote zaidi ya siasa chafu tu na umbea
 
Watu wanatakiwa kufanya kazi ndio....Sasa kazi ziko wapi?

Serikali ijenge miundo mbinu ya umwagiliaji..

Badala yake wanajenga vitu vya sifa mijini...Airports, Fly Overs, Majengo marefu....sifa za kijinga

Jengeni miundo mbinu ya umwagiliaji

Hayo maAirport ya nini? Watanzania wangapi wanapesa za kupanda ndege?

Hao watalii wako wapi na ma VAT yenu mwendo kasi
Mkuu,umeandika mambo ya msingi sana sana. Kuna vitu viwili pekee vinavyoweza kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati kwa kasi ya mwanga,nayo ni Elimu bora na kilimo cha umwagiliaji. Vipaumbele kinyume na hapo ni kujidanganya tu.
Kipindi cha kubadilika toka mfumo wa runinga wa kianalojia kwenda digitali,kuna kiongozi mmoja mwandamizi alikuwa akijinasibu kuwa eti sifa kubwa ya hiyo ni kuwa wa kwanza katika EA kutumia digitali. Kweli tunafanya kitu kwa ajili ya sifa tu na sio faida za kiuchumi? Kuna watu huku nnje wanatamani wangekuwa na mkongo wa taifa "fibre optic cable" ili wabadilishe maisha ya watu wa nchi zao,sisi tumeutelekeza pamoja na kutumia mabilioni ya tsh. Kwa wingi wa Watanzania wanaotegemea kilimo kuendesha maisha yao,hakuna kitu kingine kinachoweza kuwakomboa zaidi ya kilimo,tena kilimo cha umwagiliaji tu.
 
Mi Naona serikali ingetumia fursa zilizopo Kwnye maeneo ambyo Bado ni makubwa na yana rutuba pia na nguvu kazi tena vijana wengi hawana ajira ingetenga kias kikubwa cha fedha katika kilimo kwa kuhimiza kilimo cha kisasa na umwagiliaji kwa nguvu zte na kuachana kwanza na mambo ya viwanda ambayo kwa tz Bado sana itachukua mda kwa kufanya ivo vijana weng watapata ajira,mazao yataongeza pmj na exportation,pato la taifa litaongezeka na baada ya mda mfup nakwambia viwanda vyeyew vitajileta nawambieni ......
Mkuu bishororo,kukiwa na kilimo bora na chenye tija,automatically viwanda vitakuja tu. Pamba ilimwe nyingi na bora,viwanda vya nyuzi na nguo vitakuja,na kwa mazao mengine ya chakula na biashara ni vivyo hivyo.
 
ndio Pamba ilimwe kwa wingi na ubora sio kuongeza mawe

Katani

Kahawa

Yaani hata export zitaongezeka

Viongozi wetu wamekalia mawazo ya Ukoloni Mamboleo tu...wanaamini Watanzania hawawezi bila Ngozi Nyeupe (Wawekezaji Aka waporaji)
 
Back
Top Bottom