Kyatile
JF-Expert Member
- Feb 5, 2017
- 1,576
- 1,395
Kila siku tunasikia wimbo kwamba TEHAMA tuko nyuma, tunahitaji wataalamu. Tunaona serikali ikihama kutoka kwenye paper files kuelekea kwenye mfumo wa mtandao; kuanzia malipo, maombi ya ajira, maombi ya vyuo, usajiri wa wanafunzi wa shule nk.
Lakini cha ajabu vijana wengi wanaomaliza wanakosa ajira na wamekata tamaa. Ni nini kinasababisha vijana waliosoma TEHAMA kukosa ajira? Tulitegemea mapinduzi katika ICT yachochee ajira kwa vijana katika sekta hiyo.
Je vijana wanaotegemea kusoma courses za TEHAMA kama CS, CE, SE, IS wafanye nn ili waweze kunufaika na fursa zilizo katika ICT?
Lakini cha ajabu vijana wengi wanaomaliza wanakosa ajira na wamekata tamaa. Ni nini kinasababisha vijana waliosoma TEHAMA kukosa ajira? Tulitegemea mapinduzi katika ICT yachochee ajira kwa vijana katika sekta hiyo.
Je vijana wanaotegemea kusoma courses za TEHAMA kama CS, CE, SE, IS wafanye nn ili waweze kunufaika na fursa zilizo katika ICT?