kuna kitu kinaniumiza kichwa.....
kuhusu kipindi cha MKASI cha Salama Andunje Jabir...alipomfanjia tu intavyuu Kanumba haikupita mda akafariki,Lulu nae baada ya intavyuu haikupita mda kitu cha kunyea debe kikamuhusu,haya sasa kipindi cha wiki ilopita alikuwa SAJUKI imepita siku moja tu nae huyooo katuaga!!!!! NINI HIKI!!??