Kuna nini katika mkasi!!??

kama vipi ahamie digitali tu ili akili iwe advanced:confused2:
 
Ndo wale wale waliofaulu bila kujua kusoma na kuandika
 

nenda na ww kahojiwe tuone itakuaje..nahic kama utavuta vile
 
Nimefuta kauli wajameni
 
Watu wengine bana. Hoja dhaifu. Utadhani wapiga ramli. Sasa ndio umeanzisha mada gani hapa? Kama huna cha kuandika, tulia kimya. Au futa uanachama wako hapa JF.

we siku hizi umekuwa mods au umetumwa?ivi ukiacha kucomment hoja za watu itakuwa nini? za kwako ziko wapi ambazo imara?acha kujishau wengi twakujua
 
we siku hizi umekuwa mods au umetumwa?ivi ukiacha kucomment hoja za watu itakuwa nini? za kwako ziko wapi ambazo imara?acha kujishau wengi twakujua
Wale wale......... wanaodhani makosa yao yanafichwa na makosa ya wengine
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…