Kuna nini Clouds FM hasikiki huku mikoani?

Kuna nini Clouds FM hasikiki huku mikoani?

Mbona Clouds inakatakata sana kunani makao yao? Halafu gospel sasa kwa sana. Wameingiliwa nini? Au frequency zake zimeingiliana nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo Wasafi hata Online tu huwapati Redio inasikika Dar tu sijui Hawana hela ya kutandaza mitambo mikoani, kama hawana hela waende Clouds media wawakoposhe
Mbona unatumia a lot of energy kupigana na ukuta mkuu?we subiri hata hao mawingu hawakuanza ghafla ni suala la maandalizi na budget kumwaga frequency.
 
Biashara ya TV, Radio na magazeti imekuwa ngumu sana kwa sasa. Matangazo ya biashara hayapo.
 
Back
Top Bottom