Utashindwa kwa jina la şhetaniHaitaweza kuwa hivyo Tanzania na UBASHIRI HUO USHINDWE KWA JINA LA YESU!
Watu wamekapenda kale ka msemo "pumbavu"Ama hakika nimeona upendo wa ajabu kwa Watanzania walioonesha kwa Mhe. Rais maana wanasiasa hasa wapinzani wa Mheshimiwa Rais wananadi kwamba wananchi hawampendi mheshimiwa kutokana na kuongezeka kwa ugumu wa maisha, ila kwa hakika usemi huu nimegundua ni uzushi mkubwa.
Kwa ufupi naweza kusema ni unafiki na uzandiki wa wapinzani wa mheshimiwa; maana hizi shamra shamra nilizoziona za birthday ya Mheshimiwa Rais sijawahi kuziona ijapokuwa Mheshimiwa Rais sio hata mpenzi wa masuala ya birthday.
Yaani hata huku kijijini kwetu wakubwa kwa watoto wamejua kulikuwa na birthday ya Mheshimiwa, status za whatsapp kila nikichungulia wanaonizunguka naona HBD Mr president, na mimi niseme tu uishi miaka mingi Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli wananchi tunaupendo wa dhati sana dhidi yako .
Inawezekana hata Yesu kaamua kutuacha tuu ili tujifunze wenyewe. Maana maandiko yanasema, mna macho lakini hamuoni, masikio lakini hamsikii basi acheni huyo Belshaza awa komeshe!Haitaweza kuwa hivyo Tanzania na UBASHIRI HUO USHINDWE KWA JINA LA YESU!
Ama hakika nimeona upendo wa ajabu kwa Watanzania walioonesha kwa Mhe. Rais maana wanasiasa hasa wapinzani wa Mheshimiwa Rais wananadi kwamba wananchi hawampendi mheshimiwa kutokana na kuongezeka kwa ugumu wa maisha, ila kwa hakika usemi huu nimegundua ni uzushi mkubwa.
Kwa ufupi naweza kusema ni unafiki na uzandiki wa wapinzani wa mheshimiwa; maana hizi shamra shamra nilizoziona za birthday ya Mheshimiwa Rais sijawahi kuziona ijapokuwa Mheshimiwa Rais sio hata mpenzi wa masuala ya birthday.
Yaani hata huku kijijini kwetu wakubwa kwa watoto wamejua kulikuwa na birthday ya Mheshimiwa, status za whatsapp kila nikichungulia wanaonizunguka naona HBD Mr president, na mimi niseme tu uishi miaka mingi Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli wananchi tunaupendo wa dhati sana dhidi yako .
Wanaccm sio watz,futa utanzania sema wanaccm wajingajinga hawatofautiani nawale wa kwenye bongeAma hakika nimeona upendo wa ajabu kwa Watanzania walioonesha kwa Mhe. Rais maana wanasiasa hasa wapinzani wa Mheshimiwa Rais wananadi kwamba wananchi hawampendi mheshimiwa kutokana na kuongezeka kwa ugumu wa maisha, ila kwa hakika usemi huu nimegundua ni uzushi mkubwa.
Kwa ufupi naweza kusema ni unafiki na uzandiki wa wapinzani wa mheshimiwa; maana hizi shamra shamra nilizoziona za birthday ya Mheshimiwa Rais sijawahi kuziona ijapokuwa Mheshimiwa Rais sio hata mpenzi wa masuala ya birthday.
Yaani hata huku kijijini kwetu wakubwa kwa watoto wamejua kulikuwa na birthday ya Mheshimiwa, status za whatsapp kila nikichungulia wanaonizunguka naona HBD Mr president, na mimi niseme tu uishi miaka mingi Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli wananchi tunaupendo wa dhati sana dhidi yako .