Kwa kipindi kisichozidi miezi miwili,aliyekuwa mkuu wa mkoa arusha alipelekwa mwanza na wa mwanza kuja ars. Kabla hata hajakaa kwenye kiti aliyeletwa ars kaondolewa na kuteuliwa mkuu mwingine wa mkoa!
Sababu ya haya kutokea ni nini?hizi gharama za uhamisho si kuchezea kodi zetu?
Sababu ya haya kutokea ni nini?hizi gharama za uhamisho si kuchezea kodi zetu?