vipanda thamani
JF-Expert Member
- Jul 7, 2022
- 567
- 894
Watanzania ni kama tunapita kwenye tanuru la moto kutokana na makosa tuliyofanya wenyewe,
Tuliaminishwa rsis Magufuli ni mbaya sana lkn kwenye macho ya wengi alikuwa mkombozi wa wengi sasa ogopa sana ktk maisha umpoteze mkombozibwa wengi kinachofuata huwa ni majuto kwa wengi wito wangu ni kumrudia Mwenyezi Mungu kwa maombi atusamehe na kutupatia nafas ya pili kinyume ya hapo Ndugu zangu liko giza nene mbeleyetu.
Eee mwenyezi Mungu tukumbuke nchi yetu tuko kwenye midomo ya mamba nia yao itumize tuangamie kabisa.
Tuliaminishwa rsis Magufuli ni mbaya sana lkn kwenye macho ya wengi alikuwa mkombozi wa wengi sasa ogopa sana ktk maisha umpoteze mkombozibwa wengi kinachofuata huwa ni majuto kwa wengi wito wangu ni kumrudia Mwenyezi Mungu kwa maombi atusamehe na kutupatia nafas ya pili kinyume ya hapo Ndugu zangu liko giza nene mbeleyetu.
Eee mwenyezi Mungu tukumbuke nchi yetu tuko kwenye midomo ya mamba nia yao itumize tuangamie kabisa.