Its Tesha
Senior Member
- Oct 6, 2025
- 168
- 604
Naitwa Tesha kwa asilimia mia moja nipo na Mange katika ukombozi wa Taifa hili lakini tutambue kuwa mitandao ni silaha kubwa sana kuhakikisha tunatoka kwa namba kubwa. ushauri wangu hakikisha una VPN za aina zote ingia Play store na App Store pakua zote kikubwa tusipoteane siku hiyo.
Mwenye mbinu zakukabiliana na changamoto ya Intanet itakapozimwa Tanzania atoe maoni wote nia ni moja SAMIA MUST GO!!!!!!!!!!!! na watanzania wenzetu waliotekwa na serikali yake wapatikane wote, katiba mpya ipatikane ili tuwatie Gerezani maharamia wote JELA.
Mwenye mbinu zakukabiliana na changamoto ya Intanet itakapozimwa Tanzania atoe maoni wote nia ni moja SAMIA MUST GO!!!!!!!!!!!! na watanzania wenzetu waliotekwa na serikali yake wapatikane wote, katiba mpya ipatikane ili tuwatie Gerezani maharamia wote JELA.