nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 365
Wapo ata art wamepewa pesa yakutosha m 3.6 wengine 3.4
nani kakwambia 3.6 au 3.4 mil ya huo mkopo zinatosha,halafu mtambue si kwamba mtapewa yote kwa mkupuo,ila mtapewa kwa awamu 2 au 4,hapo akili ku mkichwa na ndo mtajua kama zinatosha au mtaandamana,