Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
hivi nlikua naomba mnitonye habar ya mtu aliyepata mkopo kwa div 2 au 3
Ckia dv haipo kwenye vigezo vya kupata mkopo,kuna jamaa zangu mbona wamepewa na 3 tena za 15,16
Kozi gani science au arts?, education?. Is it possible kuwa mtu wa div 3 ya LLB, amepata. tafadhali
kuna jamaa kapewa 2.9 ana div 3 na anakwenda kusoma law jordan university
hivi nlikua naomba mnitonye habar ya mtu aliyepata mkopo kwa div 2 au 3
Aaaaaa best hi nchi imebadilika knoma mi nilikuwa na dvsion 3 ya 16 lakin nimelamba mkopo wa 3,962,500 nimewapiga bao hata wenye dvsion 1 na 2 daaaa siamin Tuipende nchi yetu, i love uTz, nitakulinda mpaka kufa!hivi nlikua naomba mnitonye habar ya mtu aliyepata mkopo kwa div 2 au 3
mi BEDA (education in arts)lakn piga bonge la mkopo chezea tz weye ubaguz kwenye mikopo haupo kwa kgezo cha ufaulu wengne tunasoma mazngra magumu sasa lazma ufaulu utakuwa poor wao wanataka 2 principal pass tuKozi gani science au arts?, education?. Is it possible kuwa mtu wa div 3 ya LLB, amepata. tafadhali
kama unatumia cm hautayapata kama unatumia pc yapo we nenda, www.Heslb.go.tz utayakuta bila chengaSamhani naomba msaada jinsi ya kuyapata majina waliopata mkopo,maana niwefungua web ya heslb sitayapata