Kuna mtu bado anatumia Your freedom wakuu

Kuna mtu bado anatumia Your freedom wakuu

Mzurulaji

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2021
Posts
295
Reaction score
695
Habari zenu wakuu hapo nyuma kulikuwa na idadi ya watu tofauti tofauti walikuwa wakitumia Your Freedom kwa kulipia.
Hasa kwa mtandao wa Tigo na Ttcl. Nilitaka niilipie ila nilitaka nijue kwanza kama kwa sasa bado inafanya kazi au ilishafungiwa.
 
Mimi nataka mtu anisaidie HA tunnel pamoja na file lake Mambo yapo tight sna
 
Mbona mm imekubali
Screenshot_20230402-205454~2.jpg
 
Back
Top Bottom