Kuna mtu anasema second selection TCU zimetoka.

Kuna mtu anasema second selection TCU zimetoka.

kato Kazi

Member
Joined
Sep 21, 2016
Posts
38
Reaction score
21
Jamani ni kweli second selection za TCU zishatolewa ama bado wana jf????
 
sina uhakika .
Ila Kama wewe uliomba nadhani jaribu kuingia kwa profile yako uhakishe
 
Asante Kulwa maana watu wengine wanazingua mtu kapata division 3 amepangiwa chuo wewe na two yako ya 10 hujapata, acha jamaa akurushe ooh! mara second selection tiyari kumbe bado
 
Bado but kuanzia tarehe 27- 30 zitakuwa tayari but kwa sasa bado ndugu kwani Leo ndiyo mwisho wakuapply watafunga SAA sita usiku hivyo hawawezi kutoa ilihali wengine bado wanaomba kuwa na subira
 
Asante Kulwa maana watu wengine wanazingua mtu kapata division 3 amepangiwa chuo wewe na two yako ya 10 hujapata, acha jamaa akurushe ooh! mara second selection tiyari kumbe bado
Acheni umbumbumbu bhana, MTU aliye pata division two na akajipendekeza kuomba kozi ya ushondani mkubwa mfano MD,pharmacy lazma aachwe na aliyepata three akaomba kozi zisiZo na ushindani ni lazma apate bhana
 
Back
Top Bottom