Kuna msichana nampenda lakini yeye hanipendi

Kuna msichana nampenda lakini yeye hanipendi

Kuna msichana nampenda lakini yeye nahisi hanipendi nikimtumia meseji hajibu anasema hana credit .Kisa kwamba nilshawai kumtongoza akanikataa ni miezi sita sasa namfuatilia mpaka nimechoka yeye anataka nimpigie simu mimi tu .

Alipokwambia hana credit ukachukua hatua gani?.......sasa upigiwe cm vp wakati hana credit?ameona chenga tu maana vocha tu mtihani je kizinga kingine si ndo chaliiiiii!!!!!
 
mpe hela
mpe pesa
mpe tena hela
mwongeze hela
mwongezee hela
mwongezee tena hela
hakikisha una hela nyingi
basi
 
Back
Top Bottom