Nje na mtu wa Kilimanjaro, Arusha na Manyara hakina mwingine atakae kishika chama,hao ni wakabila sana kupita kiasi na wabinafsi wakubwa,wamepita sana kwenye sekta nyingi na mitaani kibiashara sasa wanataka nchi waipige vzr na hawawezi kukubali mtu wa nje ya hiyo mikoa kua juu kwenye chama chao hao...MUNGU siyo mzee Jolijo karibu watafuliwa mbali na muumba maana nia zao zinaonekana wanataka nini bila wao kujistukia