General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,301
- 23,026
Binafsi sioni tatizo kwa rafiki yako,
Naliona tatizo kwakooo..
Kama anakukera kwa tabia yake na kwa kuirudia kila mara nilitegemea urafiki ungekwishaaa...
Lkn kama anakukera na bado upo nae huku unalalamika, basi tatizo lipo kwakooo.....
Pole sanaa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naliona tatizo kwakooo..
Kama anakukera kwa tabia yake na kwa kuirudia kila mara nilitegemea urafiki ungekwishaaa...
Lkn kama anakukera na bado upo nae huku unalalamika, basi tatizo lipo kwakooo.....
Pole sanaa!!
Sent using Jamii Forums mobile app