Mimi ni msichana mwenye umri wa kuolewa na kuwa mama kabisa. Nina mahusiano ambayo tulipanga mwakani tufunge ndoa. Kabla ya kuwa na uhusiano na mpenzi wangu wa sasa nilikuwa na uhusiano ambao tulishindwana sababu ya mimi kukataa sex mpaka ndoa, mwenzangu akashndwa uvumilivu akawa na mahusiano mengne ambayo yalipekea uhusiano wetu kufa.
Mpenz wangu wa sasa alikuwa rafiki yangu kwa muda mrefu sana na twajuana mambo mengi na stand yangu anaijua na kabla sijaanza nae mahusiano nilimwambia reason ya kubreak up na x wangu nae akawa tayari kusubiria mpaka ndoa.
Tatizo sasa yeye zaidi ya kutaka sex anataka na mtoto kabla ya ndoa na ndio hadithi ya kila siku na nikimkatalia nikimwambia zaidi ya kuwa sifanyi mapenzi kabla ya ndoa mtoto ndio asahau.Kama anataka mtoto anioe.
Ananiambia kuoa mpaka ajipange ila uwezo wa kulea mtoto anao.
Hivi hapa kakasirika toka juzi hatujawasiliana kisa nilimwambia siwez kupita mbele ya baba na kaka zangu na tumbo mbele wakat sijaolewa, eti nawajali ndugu zangu kuliko yeye kwanza si naish kwangu hao ndugu zangu naweza wakwepa hadi nikajfungua.
NB: Nimeleta hapa siombi ushauri kwa sababu tayari naujua msimamo wangu natoa tu ya moyoni nipunguze hasira kwa sabubu siwezi kumwadithia mtu.
Wakimbie tu?Sasa umri nao si unasonga mbele?Ukifikisha zaidi ya miaka 32 utaolewa na mzee wa miaka 50+.Bikira sio reason ya kukataa sex, hata nisingekuwa stl kama makubaliano yalikuwa kutokufanya sex until marriage ningeyasimamia. Wakimbie tu.
Huwezi kumpata mwanaume wa kumuuzia mbuzi kwenye gunia dunia ya leo.Are you a virgin...!!! Stand on wat your instincts lets you be... at last utampata umtakaye
"hana tundu,jinsia tatanishi"Daaaa pole bint,
Nakushauri kama unataka mwanaume wakusubiria mpaka ndoa uende ukashinde makanisani,kwasasa hakuna atakaye kuelewa,mana wengi walijaribu hivyo mwisho wa siku munakuwa bikraless,ama mumefumuliwa rinda sana,lakini wengine munakataa mana munakasoro za maumbile,siku anaoa unashangaa hana tundu,au anajinsia tatanishi.Bora kama unampenzi umueleze madhaifu yako mapema
halafu amekutana na jamaa naye mjanjaHuyu hana bikira sema anataka kumuuzia jamaa mbuzi kwa gunia. Hiyo kitu haipo kwa sasa. Watu wanasonga mbele yeye anaturudisha nyuma 60's. Tena anaonekana mzoefu tuu kwenye mambi yetu yale.
Yani wengine watumie weeeee halafu me nisubirie hadi ndoa. Uwiiiiiiiiii
Tupa kule, labda kama unataka u-baby mama. Tena wanawataka wanawake wanaojitegemea ili wawazalishe maana hata wakiwatelekeza watoto wao watalelewa mazingira mazuri. Shikilia msimamo mama, anune tu kuliko maumivu atakayokuachia.Mimi ni msichana mwenye umri wa kuolewa na kuwa mama kabisa. Nina mahusiano ambayo tulipanga mwakani tufunge ndoa. Kabla ya kuwa na uhusiano na mpenzi wangu wa sasa nilikuwa na uhusiano ambao tulishindwana sababu ya mimi kukataa sex mpaka ndoa, mwenzangu akashndwa uvumilivu akawa na mahusiano mengne ambayo yalipekea uhusiano wetu kufa.
Mpenz wangu wa sasa alikuwa rafiki yangu kwa muda mrefu sana na twajuana mambo mengi na stand yangu anaijua na kabla sijaanza nae mahusiano nilimwambia reason ya kubreak up na x wangu nae akawa tayari kusubiria mpaka ndoa.
Tatizo sasa yeye zaidi ya kutaka sex anataka na mtoto kabla ya ndoa na ndio hadithi ya kila siku na nikimkatalia nikimwambia zaidi ya kuwa sifanyi mapenzi kabla ya ndoa mtoto ndio asahau.Kama anataka mtoto anioe.
Ananiambia kuoa mpaka ajipange ila uwezo wa kulea mtoto anao.
Hivi hapa kakasirika toka juzi hatujawasiliana kisa nilimwambia siwez kupita mbele ya baba na kaka zangu na tumbo mbele wakat sijaolewa, eti nawajali ndugu zangu kuliko yeye kwanza si naish kwangu hao ndugu zangu naweza wakwepa hadi nikajfungua.
NB: Nimeleta hapa siombi ushauri kwa sababu tayari naujua msimamo wangu natoa tu ya moyoni nipunguze hasira kwa sabubu siwezi kumwadithia mtu.