Kuna mapenzi kweli hapa

Hahaha shake well before use haitaki huyu mdada

Atakufa na utamu wake kama muwa.. Just kidding

Napita tu
 
Usikubali,anamapenzi ndio ila hakuna guarantee kama atakuoa,naomba ujifunze kwa wenzio hapa masingle mother utaelewa zaidi
 
Hao wote unawaomba hela?Nao wasikupe hela au huduma yoyote mpaka wakuoe.
 
Daaaa pole bint,
Nakushauri kama unataka mwanaume wakusubiria mpaka ndoa uende ukashinde makanisani,kwasasa hakuna atakaye kuelewa,mana wengi walijaribu hivyo mwisho wa siku munakuwa bikraless,ama mumefumuliwa rinda sana,lakini wengine munakataa mana munakasoro za maumbile,siku anaoa unashangaa hana tundu,au anajinsia tatanishi.Bora kama unampenzi umueleze madhaifu yako mapema
 
Maisha cyo fair sana.....inaweza kuitunza bikra yako ikaja kutolewa na mume mpumbavu.....in short unajinyima utamu wa dunia
 
For sure hizi mambo zinafurahisha and am surprised hii kitu nimeikuta pia sehem mtu hataki kusex before marriage kumuuliza kisa cha kuachana na mtu wake mwngne hakuna sababu ya msingi nikauliza vp huyo hamkuwahi pia kusex jibu ni kwamba mechi zilikuepo za kutosha, sasa swali langu my dear dada hii ni kutokana nakuona kwmb mechi za mchangani ambazo hazipandi daraja ni nying sana kiasi kwamba kiwango kinapotea bila mafanikio ama nini? samahani lakini
 
Nna rfk ambae bf alitaka mtt b4 ndoa na yy alikua hataki. Hamad mimba imeingia bht mbaya. Mpk leo mtt ana mwaka bf alishapotea hajawah mwona mtt toka azaliwe. Uckubali kumzalia mtu b4 ndoa
 
Utakimbiwa mpaka uzeeke,nani kakwambia tunaoa bila kula mzigo?
 
Duuh!! mkuu una maneno makali mno


Ila Kuna papuchi nyingine ni kweli zinanuka aisee! sasa kama ndo ushamuoa halafu unakutana na papuchi nukanuka si ni hatari hiyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…