Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,987
- 189,573
Siruhusiwi kujuta kwa kitu chochote naamini hivyo.
Acheni undezi kila kitu makufuli makufuli mwacheni...iko siku mtamkumbuka.Najutia kutonunua bitcoin zilipoanza, ningetumia dola 50 tu ningekuwa milionea sasa.
Wangapi wanajutia kumpigia kura Magufuli?
Mi sijutii na 2020 nampigiaNajutia kutonunua bitcoin zilipoanza, ningetumia dola 50 tu ningekuwa milionea sasa.
Wangapi wanajutia kumpigia kura Magufuli?
kausha
Tafuta pesa, watoto wako watajuta hivyo hivyo.
[emoji121]Mojawapo ni hiyo FOREX
BITCOIN
na ya kufungua music library yangu binafsi
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Makufuli ni nani?Acheni undezi kila kitu makufuli makufuli mwacheni...iko siku mtamkumbuka.
We hata mavi utakula. Si sjabu.Mi sijutii na 2020 nampigia
Thanks mkuu[emoji121]
MKUU,
IT IS NEVER TOO LATE,
YOU CAN START FROM NOW.
Unaanzaje kujuta kitu ambacho kujakisababisha? ?????
Wakati huo wenyewe wanajutia kwanini usingekua Christiano ata bc mbwana Samantha
Mm najuta kukutana na uyu mtto Zai jmn ananipenda nami najitaidi kumpenda ila na mtu wangu naye anajua natamani nimuache ila analia hadi unashimdwa kuchukua maamuzi
Nipe namba zake nitatueMm najuta kukutana na uyu mtto Zai jmn ananipenda nami najitaidi kumpenda ila na mtu wangu naye anajua natamani nimuache ila analia hadi unashimdwa kuchukua maamuzi
Sent using Jamii Forums mobile app