mchecheto
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 1,532
- 1,479
daah..huyo jamaa fisi kweli..amekula utam wako na akasepa kwa mkewe...Hi there!
Ok katika maisha kuna matukio yanatokea alafu baadae unajikuta unajilaumu au kujutia sana.
Binafsi najutia kukutana na kijana mmoja ambaye tulipendana sana
Lakini baada ya kusumbuana akawa na mawivu kupindukia nikajagundua ana mke na watoto wa3 lakini moyo wang haukuacha kumpenda hadi leo.
Pamoja na kumpenda nilimwacha aende namuwaza sana japo nimemblock kila sehemu nailaani sana siku niliyokutana nae.
Elezea na wewe unachojutia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app