Kuna mahali nimeharibu vibaya mno :( , sijui nifanyaje?

Binti wa zamani

Platinum Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
11,763
Reaction score
27,149
  1. Umeshawahi kufanya kosa na ukajishtukia mwenyewe kwamba hapa ulizingua?

  2. Ulideal vipi na hiyo hisia ya kuwa mkosaji na nafsi kukusuta baada ya kujua umemuumiza mtu unayempenda?

  3. Mwisho kabisa, ulifanya nini mpaka uliyemkosea akakusamehe na akasahau ule ubaya?

Wajuaji msimalize pumzi zenu : HAPANA SIJACHEAT

 
Mood swing zinawatesa sana wanawake mpaka kufikia kwenye matatizo ya afya ya akili ndio maana mimi nimeamua kuwa na mke mmoja na michepuko yangu miwili bado mmoja ifike mitatu niwe na wake wanne kwishaaa.
 
I’d argue, but you’re already losing to yourself 😎
Acha uendelee kutapa tapa tu na makasiriko yako πŸ˜†
 
Kwanza elewa kukosea ni ubinadamu,hakuna binadamu asiyekosea,kwahiyo usipanik kwa kukisea.Hoja ni ni nini unafanya baada ya kukosea? Omba radhi kwa uliyenkosea na jirekebisha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…