Kuna mafanikio kwa wanaoomba OTEAS

Kuna mafanikio kwa wanaoomba OTEAS

manuk

Member
Joined
Dec 22, 2017
Posts
20
Reaction score
37
Habarini wanajamvi
Tangu juzi najaribu kuomba nafasi zilizotangazwa na TAMISEMI kupitia OTEAS ila kuweka vyeti ( ku-approad vyeti) imekuwa shida sana. Hebu tupeane uzoefu hapa kuna wanaofanikiwa tangu juzi?
 
Habarini wanajamvi
Tangu juzi najaribu kuomba nafasi zilizotangazwa na TAMISEMI kupitia OTEAS ila kuweka vyeti ( ku-approad vyeti) imekuwa shida sana. Hebu tupeane uzoefu hapa kuna wanaofanikiwa tangu juzi?
aseeee mtandao uko poa sana sasa hiv wamejaribu kuirekebisha sana cha msingi iNatakiwa uwe na device ambayo ina mtandao mzuri pia hakikisha docmnts zako hazizidi mb 1.5 au 1
 
pia jaribu kufanya iyo kazi usiku au asubuh sana kidogo mtandao unakua haujalemewa mda huo
 
aseeee mtandao uko poa sana sasa hiv wamejaribu kuirekebisha sana cha msingi iNatakiwa uwe na device ambayo ina mtandao mzuri pia hakikisha docmnts zako hazizidi mb 1.5 au 1
Zote kwa pamoja zisizidi mb 1 au kila moja isiwe zaid ya mb 1
 
Habarini wanajamvi
Tangu juzi najaribu kuomba nafasi zilizotangazwa na TAMISEMI kupitia OTEAS ila kuweka vyeti ( ku-approad vyeti) imekuwa shida sana. Hebu tupeane uzoefu hapa kuna wanaofanikiwa tangu juzi?


Ushauri wangu hakikisha unatimiza yafuatayo
1. Kuwa kwenye internet nzuri.
2. Nashauri tumia UC Browser(Ndio niliyofanikiwa kufanya upload) iwe ni kompyuta au simu, ingawa unaweza pia kutumia Firefox au Google chrome.
3. Kama utatuma muda wa usiku sana inaweza kuchukua muda mfupi zaid, hata hivyo kwa mazingira yote inahitaji uvumilivu hadi kufanikiwa kuapload (Appr. 2 - 10 mins au zaid kulingana na mazingira ikiwemo PC yenyewe)
4. Pamoja na hayo yote bado inakubidi kuomba Mungu maana bila yeye unaweza hata ukakata tamaa mapema tuu, imani muhimu.
5. Jitahidi ufanyie kazi hili bado siku moja tuu.

****Ukubwa wa kila file usizidi 1Mb***

@ Manyuc
 
Ushauri wangu hakikisha unatimiza yafuatayo
1. Kuwa kwenye internet nzuri.
2. Nashauri tumia UC Browser(Ndio niliyofanikiwa kufanya upload) iwe ni kompyuta au simu, ingawa unaweza pia kutumia Firefox au Google chrome.
3. Kama utatuma muda wa usiku sana inaweza kuchukua muda mfupi zaid, hata hivyo kwa mazingira yote inahitaji uvumilivu hadi kufanikiwa kuapload (Appr. 2 - 10 mins au zaid kulingana na mazingira ikiwemo PC yenyewe)
4. Pamoja na hayo yote bado inakubidi kuomba Mungu maana bila yeye unaweza hata ukakata tamaa mapema tuu, imani muhimu.
5. Jitahidi ufanyie kazi hili bado siku moja tuu.

****Ukubwa wa kila file usizidi 1Mb***

@ Manyuc
Siongezi kitu maana umemaliza kila kitu
 
Back
Top Bottom