Kuna madhara yoyote uki install apps kwenye memory card?

Bariki Blessy

Member
Nov 5, 2015
16
3
habari za saa hizi waungwana
Nina simu ya Huawei memory yake ya ndani ni ndogo sana sasa nimekuwa niki download apps na kuziweka kwenye memory card lakin baada ya muda memory card zinakuwa hazisomi tena nimejaribu kama memory card tatu tofauti na zote zimekufa kwahiyo nilikua naomba kwa wanaojua kama kuna madhara yeyote endapo uki install apps kwenye memory card
 
Hakuna madhara ya kihivyo, hizo memory card nina mashaka na quality yake.
 
Tatizo utakalokutana nalo ni memory card ikifa na hua zinakufa kirahisi kuliko internal memory.
Tatizo jingine loading speed ya apps, memory card nyingi hasa wengi wanapenda za bei chini hua zina speed ndogo, kwa hiyo wakati wa kuload application itakua slow, ila app ikiishafunguka itakua na speed ya kawaida coz inakua loaded kwenye RAM. Zaidi ya hapo hutopata shida yoyote
 
Tatizo utakalokutana nalo ni memory card ikifa na hua zinakufa kirahisi kuliko internal memory.
Tatizo jingine loading speed ya apps, memory card nyingi hasa wengi wanapenda za bei chini hua zina speed ndogo, kwa hiyo wakati wa kuload application itakua slow, ila app ikiishafunguka itakua na speed ya kawaida coz inakua loaded kwenye RAM. Zaidi ya hapo hutopata shida yoyote

asante mkuu kwa msaada wako na je ukubwa au udogo wa memory card unaweza kuathiri speed ya ku tumia apps zilizopo kwenye memory card
 
habari za saa hizi waungwana
Nina simu ya Huawei memory yake ya ndani ni ndogo sana sasa nimekuwa niki download apps na kuziweka kwenye memory card lakin baada ya muda memory card zinakuwa hazisomi tena nimejaribu kama memory card tatu tofauti na zote zimekufa kwahiyo nilikua naomba kwa wanaojua kama kuna madhara yeyote endapo uki install apps kwenye memory card

Tafuta quality mmc, kubwa ya kutosha... Maana issue ya memo kufa hutokea kwa fake mmc
 
Back
Top Bottom