Kuna madhara gani kuto-update apps

Kuna madhara gani kuto-update apps

Kabelwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
678
Reaction score
196
Wataalamu kuna madhara gani kama huta update application ambazo zinahitaji kufanyiwa hivyo kama chrome,map,gmail,google n.k
 
Hautakuwa na latest version. Ila somtym unawez ukawa unaface tatizo flan hivi kweny app husika zen wanavotoa updates mayb ikawa washasolve na lile tatizo. So its better 2be up to date
 
Kwa maana hiyo kuna umuhimu wa kuzifanyia updates
 
Lakini kuna opposite case pia, wakati mwingine unafanya update kumbe ndo inaleta tatizo au mbaya zaidi App ambayo ilikuwa haina matangazo inaweka matangazo kwenye new update au inaondoa features. So ni muhimu kusoma reviews mpya kabla ya kuupdate.
 
Hakuna madhara zaidi ya kumiss mambo mapya yaliyokua yameongezwa katika iyo update.
 
Lakini kuna opposite case pia, wakati mwingine unafanya update kumbe ndo inaleta tatizo au mbaya zaidi App ambayo ilikuwa haina matangazo inaweka matangazo kwenye new update au inaondoa features. So ni muhimu kusoma reviews mpya kabla ya kuupdate.
Umesomeka mkuu, hivi hakuna namna ya kutoa app za Google play stand, play movie na zinginezo maana sioni umhimu wa kuzi update wakati sizitumii.
 
Umesomeka mkuu, hivi hakuna namna ya kutoa app za Google play stand, play movie na zinginezo maana sioni umhimu wa kuzi update wakati sizitumii.

Kama haziwezekani ku uninstall unaweza kuzi disable.
 
Kwa maana hiyo kuna umuhimu wa kuzifanyia updates

Tatizo si kuzifanyia update tu kila zikukuambia Uzifanyie Update. Angalia Kama Unapata Tatizo Fulani kwenye hiyo App mfano Inaweza Ikawa ina Close mara kwa Mara Na Kukuambia Unfortunately.... has stopped. Kwahiyo kama hiyo app imepata Update inawezekana hilo tatizo likawa limepata ufumbuzi.. kwahiyo fanya ku update..

Update zingine huwa zinahusu version fulani tu. Mfano unatumia Kitkat au Jellbean.. ila Update hiyo ni kwa Ajili ya Lollipop kwahiyo sioni haja ya Wewe kuupdate na Kupoteza Data bundle yako..

Mi huwa na Update If kuna kuwa na Features ninazozihitaji...
 
Hakuna madhara zaidi ya kumiss mambo mapya yaliyokua yameongezwa katika iyo update.

Wanapoita updates sio kwamba lazima waongeze features flani.
Wanawezafix bugs flani flani au ata kuremove baadhi ya features.
 
Back
Top Bottom