Kuna ma-ex wengine ni kama wachawi

Usioe mwanamke asiye na bikra.

Sijui ni wapi sieleweki.

Vijana wa sasa hivi hata asome apate PHD bado hawezi elewa mantiki ya hoja yangu.


Nakazia; Kwa wale ambao sio sikio la kufa; Usioe Mwanamke asiye na bikra.

Kama umeoa inabidi uvumilie tuu.
Unaweza kumuoa vile still akatoka nje ya ndoa tena na tena hatimae akawa na maex kama kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I agree cutelove unaachana na mtu unajiuliza hivi yule ni mtu ama jinni ulikua kwenye uhusiano nae
 
pumbafu kabisa,,,, nyie ndio mnafanya vijana wanateseka kutafuta bikra!!!......


..........japo uliyoongea ndio uhalisia wa maisha yetu, ndoa nyingi zina watoto wa ma-x......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu binti hapo anajisifia nini?..... yan vijana watateseka sana kupata wake aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliambiwa ndoa hufa lakini uhawala haufi!
 
Ndio maana kuna dada mmoja niliwahi mgegeda takribani miaka minne sasa ila ajabu kwa mwaka mala moja au mbili lazima anitext Mmmh yaani wewe,nami huwa sijibu maana kupasha viporo waweza kuta vilishachacha,bora kuvipotezea kimyakimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakula eti hili ni limke la mtu,dah hasara sana,shetani anawaza hadi kumchomekea mumewe mtoto,hili dubwana ni fungu la motoni tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
GRAMAA uliipata hii? Bado anakukumbuka
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…