Kuna ma-ex wengine ni kama wachawi

Kweli 7,800 ilipendeza
 
Hivi mapenzi nayo ni bahati?
 

Mimi ni nani niwaadhibu wanawake.

Mimi nawapa ushauri vijana ambao wanataka waishi maisha ya ndoa iliyokusudiwa yenye furaha.

Wale sikio la kufa waache kufuata ushauri huu.

Tokea lini mwanaume akawa na bikra?

Sijajua unaelimu ya lugha ama vipi. Ila mada ya bikra tulishajadili humu kuwa bikra ni nini? Hasa maana ya msingi ya neno hilo. Achana na maana matlaba.
 
Bikira zitoke wapi ndugu yangu,mtoto anamaliza la 7 Hana bikira,chance ya kupata msichana aliyemaliza form 6 mwenye bikira ni 1 kwa 1000.

Sent using Jamii Forums mobile app

Vitu vizuri hupatwa na wachache. Kazana mzee.

Ukitaka ufanikiwe usikae kwenye kundi lenye watu wengi. Watu wengi ni tabaka la chini.

Matajiri wapo wa chache
Watakaoenda mbinguni ni wachache
Watakatifu ni watu wachache
Watakaoishi umri mrefu ni wachache
Wanaooa bikra ni wachache

Ukishajua jambo dogo kama hilo unatakiwa kufight
 
Mm nahisi hakuna mtu ambaye hachepuki duniani...si mwanamke wala mwanaume....kuchepuka ni asili yetu binadamu....ndoa nikautaratibu tu kaki-maendeleo ili kupunguza watoto wa mitaani.
 
Hii inatokea kwa wanawake sijui kwa nini huwa hamzahau ma-x wenu
 
Na wewe pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana tunatofautiana maana ya neno bikra. Ila kwangu mm bikra ni kitu kipya ambacho hakijawahi kutumika au kufunguliwa.

Ndio wanaume wanaume ambao hawajawahi kufanya mapenzi au ngono ni bikra. Siku ya kwanza kumuingilia mwanamke ndiyo siku uliyofuta bikra yako.
 
Ndio maana tunashauriwa tuoe Bikra hutosikia huu Upuuzi ukioa Bikra
 
Kuna mjumbe mmoja alisema kuoa bikra ni kujenga familia yenye uaminifu na uvumilivu wa maisha kwa 90%.
Vijana oeni mabikra mkikosa, hawa waliozalishwa ni zaidi ya hepatitis kwa ushahidi wa huyu mama hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukiachana ndy imeishaaaaaa hiyoooooooooo, kwanza mambo ya kumuwaza mtu ambaye haniwazi siwezi, labda tukutane njiani tu tena salamu tu inakutosha.

Tena usiombe tuachane kwa ugomvi utajutraaaaa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…