Kuna kundi linasubiri Ubwabwa

Hapo ndo nmejua kwanini Dar na pwani kuna machoko kibao sababu ya umwinyi na utegemezi pata picha mtu unampa laki tu anasema ataka vichwa ukimuongeza hamsini si unambandua kipira?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ukiwapa Ubwabwa, umewa win by 100%
Mkuu, wapenda ubwabwa wako sehemu zote. Tena hawa unaowazungumzia ni machoko wachache mno, wale wajanja wa mjini wanaopenda kula vya dezo. Unajua jiji la Dar lina masalia ya utamaduni wa u-mwinyi, na hawa watu asili yao wanaishi kwa kupiga porojo. Unaona hata club za Yanga na Simba zimeathiriwa na hawa watu, wapiga porojo. Dini wanatumia kama kichaka tu kama anavyofanya Mwamposa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…