Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,555
- 6,124
Nimeona video amewapigisha magot wana omba usipime ila leo ushindi lazimaMwenyezi Mungu huwa hapokei Maombi ya Mduduna ( Mpumbavu ) na Mnafiki hata Siku moja. Bora angekula na kunywa tu!
Nimeona video amewapigisha magot wana omba usipime ila leo ushindi lazimaMwenyezi Mungu huwa hapokei Maombi ya Mduduna ( Mpumbavu ) na Mnafiki hata Siku moja. Bora angekula na kunywa tu!
Ikishindwa hapo tumeshindwa wote lkn ikishida sidhani kama makonda atakubali kuwa tumeshinda wote, subiri utaonaAcheni Wivu jamani nchi ni yetu sote wakishinda tumeshinda wote na wakishindwa tumeshindwa wote.
Mkuu aisee...Tumepigwa tatu kwa mbili...na Kenya..Angeenda mechi ya senegali ....
Mxieeeeew!Taifa Stars tunashinda goli 2 na Makonda ataibuka shujaa wa Taifa
bibiii👧 ngapi ngapi mpaka sasa??😂😂😂😃😃😃Taifa Stars tunashinda goli 2 na Makonda ataibuka shujaa wa Taifa
Vipi , ulisema kweli kuwa tutafunga mbili, lakini tumefungwa tatu , je apewe jina jingine huyo jamaa au bado ni shujaa wetu?Taifa Stars tunashinda goli 2 na Makonda ataibuka shujaa wa Taifa
Ondoa Makonda toka kwenye Kamati ya Uhamasishaji na hapo ndo Taifa Stars itaanza kushinda mashindano ya KImataifa. Eti Taifa Stars ni timu ya CCM! Unadhani kama kuna mchezaji ambaye si CCM atajisikiaje? Huyo dogo hafai kabisa!Ninachojua leo Taifa Stars inafungwa Goli la Nguruwe ( Moja ) tu na atakayetufunga ni Victor Wanyama.
Huyu jamaa huyu, anacheza na mwana wa mfalmeLeo mida ya Saa 5 Usiku hadi Saa 6 na dakika 55 kuna Kiongozi Mmoja wa Tanzania ambaye ni Mpenda Sifa na hupenda Kuonekana kuwa hashindiwi Kitu hasa Mipango yake na ndiyo Mdanganyifu Namba Moja kwa Rais wetu anaenda Kuumbuka nchini Misri na ndipo atajua kuwa kuna Mambo mengine ni ya Kiufundi zaidi na siyo Siasa hasa zile zake za Kujipendekeza.
Natanguliza Shukran zangu za dhati kabisa kwa Wakenya hasa kwa Wanyama na Oliech.
its the other way round, leo tutashuhudia uwepo wa Mungu wa kweli kwa wapakwa mafuta wake.
Huyu mtu ni mtu wa Mungu.
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Wanabodi, Ukiisikia simulizi za historia ya Mkuu wa Dar es Salaam, Paul Makonda, tangu kuzaliwa, alipotoka, mapito aliyopitia na hadi sasa alipo, na kuifikiria picha ya anapokwenda, baada ya kusoma makala hii na kusikiliza masimulizi haya, mtakubaliana na mimi kuwa, huyu Paul Makonda ni...www.jamiiforums.com
P
YOndoa Makonda toka kwenye Kamati ya Uhamasishaji na hapo ndo Taifa Stars itaanza kushinda mashindano ya KImataifa. Eti Taifa Stars ni timu ya CCM! Unadhani kama kuna mchezaji ambaye si CCM atajisikiaje? Huyo dogo hafai kabisa!
Na anaumbuka kweli umisema mechi dhaifu sio sawa maana aibu inaenda kutokea hata kama kazoea fitina lkn huku anateleza leo
[/QUOTE
Yaani nimefurahi kweli kwa kichapo. Tunaipenda sana Taifa Stars. Lakini kama wanataka kuifanya iwe kitengo cha CCM hatutaiunga kamwe, kama ambavyo Jana hatukuiunga na Mola akasikia dua zetu!