Kuna jambo linanisumbua?

Kuna jambo linanisumbua?

Chadema 2030

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,913
Reaction score
3,736
Sijui na tatizo gani?Kila siku nikilala naota ndoto nyevu.sijui n tatizo ganI linansumbua,kila siku nikiamka surual imeolewa.Sijui na jamiana na mizuka au nifungo vya giza

Ebu wakuu nisaidien kimawazo, maana hili sio mchezo na pata mademu wengi ndoton,kuliko kiuhalisia.
 
Kaukwee mnazi kwa kono moja mara kwa mara, ili kuepuka adha unayoipata.
 
Back
Top Bottom