Kuna jambo linanisumbua?

Kuna jambo linanisumbua?

Goku 255

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
449
Reaction score
867
Sijui na tatizo gani?Kila siku nikilala naota ndoto nyevu.sijui n tatizo ganI linansumbua,kila siku nikiamka surual imeolewa.Sijui na jamiana na mizuka au nifungo vya giza

Ebu wakuu nisaidien kimawazo, maana hili sio mchezo na pata mademu wengi ndoton,kuliko kiuhalisia.
 
Back
Top Bottom