Humu JF bwana kumeathiriwa na Ujuaji mwingi, yani mtu anajikuta anajua too much mpaka anataka kuwadirect wengine nini cha kufanya.
Mara oooh kuna flani alipigwa! Sasa ni sawa na mtu anataka kusafiri unamwambia usipande basi tafuta usafiri mwingine kwa sababu juzi kuna basi lilipata ajali!
Mi bora niwe mwanafunzi siku zote, sitachoka kujifunza pamoja na uzee huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa waliniandikia kuhitaji Visa ya Australia. Wakatuma kama email 3 hivi kutaka namba ya simu. Siku paap simu ya nje. Akaniambia uliomba Visa ya Australia nikasema ndio. Akauliza kama nina credit card utume pesa, nikasema sina. Akakata simu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa aliyetuma mil 2 ni kiazi.Mkuu kuna utapeli mwingi sana online huku. Juzi hapa kuna mwamba amepost uzi kuwa jamaa yake kapigwa milioni mbili na mtu aliejifanya ni mwanamke yupo South anataka atumiwe nauli waje wale maisha na mshkaji bongo. Jamaa akaingia choo cha kike.
Haya mambo yapo sana. Unaweza kuibiwa kwa tamaa au kukosa umakini. Jiulize kwanza huyo mtu amepata wapi email yako mpaka akutumie tangazo la kazi privately?
Uko sahihi...kuna jamaa mmoja nilikuwa namwambia taperi hajaweza kubuni njia mbadala ya kusema nitumie/toa/tuma pesa lazima afike stage hiyo tu ya mwisho sasa siuna muacha tu.Watanzania aisee tumepewa utashi ili tuwe tofauti na wanyama, ndege na wadudu kama vile funza, mende n.k
Link ipo hapo kwenye tangazo, sidhani kama ukiingia tu kwenye tangazo utakuwa umeshatapeliwa, inatakiwa ufate process upload CV yako, angalia next step wanataka ufanye nini, itakapofika sehemu ya kuambiwa utume fee yoyote kwani mtu ataingia kwenye wallet yako kuchomoa pesa atume huko, ikifika hapo si unasitisha zoezi.
Lakini mtu hujafanya process yoyote unaanza kupayuka Oooh mwanangu aliambiwa atume hela, mara Oooh nimemuokoa, acha kufikiri kwa kutumia masabuli shughulisha ubongo wako angalau kidogo aisee.
Usipende KUKARIRI na kuwakatisha wengine tamaa kama wee unaona haikufai usikatishe wengine tamaa wenye mioyo ya uthubutu aisee.
Yaani ulikuwa umeelekezwa kuchinjwa kabisa
Hawa jamaa wapo wengi sana na mimi wametuma sana
Kwa huku mpaka landlines za watu wanazo na wana kupiga
Nilipigiwa na jamaa tapeli toka Spain akaniambia nimeshinda bahati nasibu hela ndefu sana
Nikamuacha aongee sana mpaka akaniambia tuma details zako za credit card hapo ndio nikamwambia uko sehemu gani akaniambia Barcelona
Nikamwambia nipe anuani kuna jamaa yangu yuko hapo ataziijia
Akakata na Simu
Sent from my iPhone using Tapatalk
Uko sahihi...kuna jamaa mmoja nilikuwa namwambia taperi hajaweza kubuni njia mbadala ya kusema nitumie/toa/tuma pesa lazima afike stage hiyo tu ya mwisho sasa siuna muacha tu.
Muda mwingine utakosa mtu fursa kisa hizi kauri za kizembe wewe click kwani uki click tu wanauwezo wa Lucília pesa kwenye account tiali.
NB: hakuna asiye kuwa aware na utaperi kwa sasa especially kwa mwana jf mkomavu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ki ukweli tukiacha issue za utapeli, Dubai kuna fursa kubwa za ajira kwa fani za land survey, ma dereva na pia ku pack bidhaa kwenye mabox kupeleka na kutoa supermarket wenzetu wakenya na waganda serikali zao zinawasaidia sana watu wao kupata hizo mishe ila kibongo wanabana kinoma utaishia airport,
Mimi nina washkaji wangu 2 walijiongeza wakaenda kuondokea Rwanda then dubai ni madereva kule maisha yanaendelea saafi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh. Usije tu kusema hukuambiwa bwana 'mzee'.Humu JF bwana kumeathiriwa na Ujuaji mwingi, yani mtu anajikuta anajua too much mpaka anataka kuwadirect wengine nini cha kufanya.
Mara oooh kuna flani alipigwa! Sasa ni sawa na mtu anataka kusafiri unamwambia usipande basi tafuta usafiri mwingine kwa sababu juzi kuna basi lilipata ajali!
Mi bora niwe mwanafunzi siku zote, sitachoka kujifunza pamoja na uzee huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna utapeli mwingi sana online huku. Juzi hapa kuna mwamba amepost uzi kuwa jamaa yake kapigwa milioni mbili na mtu aliejifanya ni mwanamke yupo South anataka atumiwe nauli waje wale maisha na mshkaji bongo. Jamaa akaingia choo cha kike.
Haya mambo yapo sana. Unaweza kuibiwa kwa tamaa au kukosa umakini. Jiulize kwanza huyo mtu amepata wapi email yako mpaka akutumie tangazo la kazi privately?
Kizembe kinyama yani dah. Jamaa yake alisema hela yenyewe alikopa hapo ni kuwa alikuwa kashikiliwa na police.
Hata mm nashangaa watu wanavyokurupuka kila mtu kubwabwaja yake bila kusoma instructions zinasemaje.Watanzania aisee tumepewa utashi ili tuwe tofauti na wanyama, ndege na wadudu kama vile funza, mende n.k
Link ipo hapo kwenye tangazo, sidhani kama ukiingia tu kwenye tangazo utakuwa umeshatapeliwa, inatakiwa ufate process upload CV yako, angalia next step wanataka ufanye nini, itakapofika sehemu ya kuambiwa utume fee yoyote kwani mtu ataingia kwenye wallet yako kuchomoa pesa atume huko, ikifika hapo si unasitisha zoezi.
Lakini mtu hujafanya process yoyote unaanza kupayuka Oooh mwanangu aliambiwa atume hela, mara Oooh nimemuokoa, acha kufikiri kwa kutumia masabuli shughulisha ubongo wako angalau kidogo aisee.
Usipende KUKARIRI na kuwakatisha wengine tamaa kama wee unaona haikufai usikatishe wengine tamaa wenye mioyo ya uthubutu aisee.
Hata mm nashangaa watu wanavyokurupuka kila mtu kubwabwaja yake bila kusoma instructions zinasemaje.
Ile email ni ya matangazo tu ya kazi.
Hakuna mahali waliposema ameshapata kazi.
Ni hiari yake kuomba nafasi ya kazi inayompendeza na sio lazima,Sasa hapo utapeli unatoka wapi hali ya kuwa hata hizo nafasi bado hajaapply.
Sent using Jamii Forums mobile app