joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,157
- 31,740
Sehemu gani nimesema hafiki popote?Bora kushabikia mambo ya nje kuliko ya ndani kwako siyo?.
Yaani mwanao anapambana kufanya vizuri unasema yule wa jirani yupo vizuri huyu wangu hawezi kufika popote.
Ndiyo maana watanzania kila mtu anapambana kivyake kufikia mafanikio hata mtoto nyumbani anapambana ili muda ufike aondoke nyumbani si aondoke kwa sababu ya kipindi chake kuishi kwa wazazi.
Wakati kny (mfano) wanampa support mkimbiaji wao amalize mbio hata kama yupo No. 8 ila wanampigia makofi kumtia moyo.
Na akipokea tuzo tunasema amenunua, tufanye nini ili ionekane kafaulu?.
Kwani ukisikiliza ya ndani ya nje hutakiwi kusikiliza?