Egwugu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,558
- 8,552
Kwa kuwa miaka miwili kabla ya uchaguzi ujao 2017, 'wanyarwanda walio wengi' wameamua kubadilisha katiba ili rais Kagame (na sio mtu mwingine yoyote yule), aweze kugombea urais mpaka 2034, kuna haja ya Rwanda kupoteza fedha kufanya uchaguzi wa rais 2017? Si wangeufuta tu kupunguza matumizi magufuli style? Hao watakaompa ushindi mtu mwingine zaidi ya Kagame watatokea wapi ikiwa karibu wote wamekubali Kagame atawale mpaka 2034? :bump2:
Wewe ni mnyarwanda? je, katiba ya Rwanda inasemaje na ingekuwa vizuri ukaweka vifungu vyake hapa. Alafu utusaidie ukawaulize waendesha uchaguzi wa Rwanda. Tujifunze kujadiri kwa facts ili kuepusha hisia zetu kutawala mijadara.