Kuna haja ya Rais kuchunguza mchakato wa CRDB kushinda tenda ya kulipa mishahara ya serikali

Mkuu nadhani hawa crdb katika fair competition hawawezi zaidi ya lobbing. sehemu walizoshinda zote waulize madiwaniw alikula ngapi,Deds,teds. leo ktk sehemu walizoshinda hatoi na mikopo sasa sijui ndio nini hiki. Kwangu Nmb itabaki kuwa benki bora kwa sasa.
CRDB ni benki ya mafisadi
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Wadau,

Baada ya kuona mzee wa watu (Magufuli) anaandamwa na watu ambao walipaswa kumsaidia kuinua hali ya uchumi wa Taifa hili, watu ambao wanajua fika kwamba kupitia taasisi zao wamechangia katika kulirudisha Taifa hili nyuma kwa miongo kadhaa, watu ambao hawana shukrani kiasi ya kuombea mabaya kila kukicha, watu ambao elimu zao za uchumi hazisaidii Taifa kwa mawazo chanya, ......Nimeamua nimshauri mzee wangu JPM.

Ikumbukwe kuwa mwaka uliopita , benki ya CRDB ilishinda tenda ya usambazaji wa mishahara ya serikali, kwa maoni yangu binafsi na maoni ya watu wengi waliolitazama jambo lile kwa jicho la tatu walijiuliza iweje NMB yenye mtandao mpana wa huduma hadi vijijini, benki ambayo serikali ina hisa, benki ambayo ni mkombozi kwa walalahoi inyang'anywe tenda ile wakati ina sifa za ziada kuliko CRDB ambayo hata baadhi ya wilaya nchini haijafika?? Kwa nini tenda ile ipewe CRDB ambayo ina kiasi kidogo sana cha wafanyakazi wa serikali ambao wanapitishia mishahara yao kule?

Nani alisaidia CRDB kushinda tenda ile!!!! kitendo ambacho kimeongeza gharama za kuhamisha pesa kutoka benki ya CRDB kwenda benki nyengine ambazo idadi kubwa ya wafanyakazi wa serikali wana akaunti za mishahara? ni kwa faida ya nani?

Nichukue nafasi hii kumuomba Rais wetu mpendwa Ndugu, Dkt John Joseph Pombe Magufuli auchunguze ule mchakato wote ulioipatia benki ya CRDB tenda ya kusambaza Mishahara iliyopelekea kuongezeka kwa gharama za "inter-banking transaction" tofauti na ilivyokuwa awali.

Ni hayo tu.

Tume ya Katiba

Mcheza pool table Maarufu.
Aliyekutuma kakuingiza choo cha kike
 
CRDB ni benki ya kitanzania na inachangia sana kujenga uchumi wa nchi yetu na ndio inaongoza kutoa mikopo kwa miradi ya serikali. Kwa nini yenyewe isipate? Au kwa kuwa ni benki ya watanzania na sisi Siku zote tunataka wapate wazungu wa NMB. Kweli umaskini hautaisha Tanzania
 
CRDB ni benki ya kitanzania na inachangia sana kujenga uchumi wa nchi yetu na ndio inaongoza kutoa mikopo kwa miradi ya serikali. Kwa nini yenyewe isipate? Au kwa kuwa ni benki ya watanzania na sisi Siku zote tunataka wapate wazungu wa NMB. Kweli umaskini hautaisha Tanzania
 
Wadau,

Baada ya kuona mzee wa watu (Magufuli) anaandamwa na watu ambao walipaswa kumsaidia kuinua hali ya uchumi wa Taifa hili, watu ambao wanajua fika kwamba kupitia taasisi zao wamechangia katika kulirudisha Taifa hili nyuma kwa miongo kadhaa, watu ambao hawana shukrani kiasi ya kuombea mabaya kila kukicha, watu ambao elimu zao za uchumi hazisaidii Taifa kwa mawazo chanya, ......Nimeamua nimshauri mzee wangu JPM.

Ikumbukwe kuwa mwaka uliopita , benki ya CRDB ilishinda tenda ya usambazaji wa mishahara ya serikali, kwa maoni yangu binafsi na maoni ya watu wengi waliolitazama jambo lile kwa jicho la tatu walijiuliza iweje NMB yenye mtandao mpana wa huduma hadi vijijini, benki ambayo serikali ina hisa, benki ambayo ni mkombozi kwa walalahoi inyang'anywe tenda ile wakati ina sifa za ziada kuliko CRDB ambayo hata baadhi ya wilaya nchini haijafika?? Kwa nini tenda ile ipewe CRDB ambayo ina kiasi kidogo sana cha wafanyakazi wa serikali ambao wanapitishia mishahara yao kule?

Nani alisaidia CRDB kushinda tenda ile!!!! kitendo ambacho kimeongeza gharama za kuhamisha pesa kutoka benki ya CRDB kwenda benki nyengine ambazo idadi kubwa ya wafanyakazi wa serikali wana akaunti za mishahara? ni kwa faida ya nani?

Nichukue nafasi hii kumuomba Rais wetu mpendwa Ndugu, Dkt John Joseph Pombe Magufuli auchunguze ule mchakato wote ulioipatia benki ya CRDB tenda ya kusambaza Mishahara iliyopelekea kuongezeka kwa gharama za "inter-banking transaction" tofauti na ilivyokuwa awali.

Ni hayo tu.

Tume ya Katiba

Mcheza pool table Maarufu.

Kwani wazungu wa NMB peke yao ndio wenye haki? Mbona huulizi nani kaisaidia NMB benki ya wazungu kupata government business?
 
Wadau,

Baada ya kuona mzee wa watu (Magufuli) anaandamwa na watu ambao walipaswa kumsaidia kuinua hali ya uchumi wa Taifa hili, watu ambao wanajua fika kwamba kupitia taasisi zao wamechangia katika kulirudisha Taifa hili nyuma kwa miongo kadhaa, watu ambao hawana shukrani kiasi ya kuombea mabaya kila kukicha, watu ambao elimu zao za uchumi hazisaidii Taifa kwa mawazo chanya, ......Nimeamua nimshauri mzee wangu JPM.

Ikumbukwe kuwa mwaka uliopita , benki ya CRDB ilishinda tenda ya usambazaji wa mishahara ya serikali, kwa maoni yangu binafsi na maoni ya watu wengi waliolitazama jambo lile kwa jicho la tatu walijiuliza iweje NMB yenye mtandao mpana wa huduma hadi vijijini, benki ambayo serikali ina hisa, benki ambayo ni mkombozi kwa walalahoi inyang'anywe tenda ile wakati ina sifa za ziada kuliko CRDB ambayo hata baadhi ya wilaya nchini haijafika?? Kwa nini tenda ile ipewe CRDB ambayo ina kiasi kidogo sana cha wafanyakazi wa serikali ambao wanapitishia mishahara yao kule?

Nani alisaidia CRDB kushinda tenda ile!!!! kitendo ambacho kimeongeza gharama za kuhamisha pesa kutoka benki ya CRDB kwenda benki nyengine ambazo idadi kubwa ya wafanyakazi wa serikali wana akaunti za mishahara? ni kwa faida ya nani?

Nichukue nafasi hii kumuomba Rais wetu mpendwa Ndugu, Dkt John Joseph Pombe Magufuli auchunguze ule mchakato wote ulioipatia benki ya CRDB tenda ya kusambaza Mishahara iliyopelekea kuongezeka kwa gharama za "inter-banking transaction" tofauti na ilivyokuwa awali.

Ni hayo tu.

Tume ya Katiba

Mcheza pool table Maarufu.


Mbona kama CRDB inaandamwa vile???? Kwani vipi kuhusu NMB
Wadau,

Baada ya kuona mzee wa watu (Magufuli) anaandamwa na watu ambao walipaswa kumsaidia kuinua hali ya uchumi wa Taifa hili, watu ambao wanajua fika kwamba kupitia taasisi zao wamechangia katika kulirudisha Taifa hili nyuma kwa miongo kadhaa, watu ambao hawana shukrani kiasi ya kuombea mabaya kila kukicha, watu ambao elimu zao za uchumi hazisaidii Taifa kwa mawazo chanya, ......Nimeamua nimshauri mzee wangu JPM.

Ikumbukwe kuwa mwaka uliopita , benki ya CRDB ilishinda tenda ya usambazaji wa mishahara ya serikali, kwa maoni yangu binafsi na maoni ya watu wengi waliolitazama jambo lile kwa jicho la tatu walijiuliza iweje NMB yenye mtandao mpana wa huduma hadi vijijini, benki ambayo serikali ina hisa, benki ambayo ni mkombozi kwa walalahoi inyang'anywe tenda ile wakati ina sifa za ziada kuliko CRDB ambayo hata baadhi ya wilaya nchini haijafika?? Kwa nini tenda ile ipewe CRDB ambayo ina kiasi kidogo sana cha wafanyakazi wa serikali ambao wanapitishia mishahara yao kule?

Nani alisaidia CRDB kushinda tenda ile!!!! kitendo ambacho kimeongeza gharama za kuhamisha pesa kutoka benki ya CRDB kwenda benki nyengine ambazo idadi kubwa ya wafanyakazi wa serikali wana akaunti za mishahara? ni kwa faida ya nani?

Nichukue nafasi hii kumuomba Rais wetu mpendwa Ndugu, Dkt John Joseph Pombe Magufuli auchunguze ule mchakato wote ulioipatia benki ya CRDB tenda ya kusambaza Mishahara iliyopelekea kuongezeka kwa gharama za "inter-banking transaction" tofauti na ilivyokuwa awali.

Ni hayo tu.

Tume ya Katiba

Mcheza pool table Maarufu.
 
Wadau,

Baada ya kuona mzee wa watu (Magufuli) anaandamwa na watu ambao walipaswa kumsaidia kuinua hali ya uchumi wa Taifa hili, watu ambao wanajua fika kwamba kupitia taasisi zao wamechangia katika kulirudisha Taifa hili nyuma kwa miongo kadhaa, watu ambao hawana shukrani kiasi ya kuombea mabaya kila kukicha, watu ambao elimu zao za uchumi hazisaidii Taifa kwa mawazo chanya, ......Nimeamua nimshauri mzee wangu JPM.

Ikumbukwe kuwa mwaka uliopita , benki ya CRDB ilishinda tenda ya usambazaji wa mishahara ya serikali, kwa maoni yangu binafsi na maoni ya watu wengi waliolitazama jambo lile kwa jicho la tatu walijiuliza iweje NMB yenye mtandao mpana wa huduma hadi vijijini, benki ambayo serikali ina hisa, benki ambayo ni mkombozi kwa walalahoi inyang'anywe tenda ile wakati ina sifa za ziada kuliko CRDB ambayo hata baadhi ya wilaya nchini haijafika?? Kwa nini tenda ile ipewe CRDB ambayo ina kiasi kidogo sana cha wafanyakazi wa serikali ambao wanapitishia mishahara yao kule?

Nani alisaidia CRDB kushinda tenda ile!!!! kitendo ambacho kimeongeza gharama za kuhamisha pesa kutoka benki ya CRDB kwenda benki nyengine ambazo idadi kubwa ya wafanyakazi wa serikali wana akaunti za mishahara? ni kwa faida ya nani?

Nichukue nafasi hii kumuomba Rais wetu mpendwa Ndugu, Dkt John Joseph Pombe Magufuli auchunguze ule mchakato wote ulioipatia benki ya CRDB tenda ya kusambaza Mishahara iliyopelekea kuongezeka kwa gharama za "inter-banking transaction" tofauti na ilivyokuwa awali.

Ni hayo tu.

Tume ya Katiba

Mcheza pool table Maarufu.
. Kwa nini hamuulizi kuhusu NMB?Fanyeni kazi. Majungu hayajengi nchi!
 
Wadau,

Baada ya kuona mzee wa watu (Magufuli) anaandamwa na watu ambao walipaswa kumsaidia kuinua hali ya uchumi wa Taifa hili, watu ambao wanajua fika kwamba kupitia taasisi zao wamechangia katika kulirudisha Taifa hili nyuma kwa miongo kadhaa, watu ambao hawana shukrani kiasi ya kuombea mabaya kila kukicha, watu ambao elimu zao za uchumi hazisaidii Taifa kwa mawazo chanya, ......Nimeamua nimshauri mzee wangu JPM.

Ikumbukwe kuwa mwaka uliopita , benki ya CRDB ilishinda tenda ya usambazaji wa mishahara ya serikali, kwa maoni yangu binafsi na maoni ya watu wengi waliolitazama jambo lile kwa jicho la tatu walijiuliza iweje NMB yenye mtandao mpana wa huduma hadi vijijini, benki ambayo serikali ina hisa, benki ambayo ni mkombozi kwa walalahoi inyang'anywe tenda ile wakati ina sifa za ziada kuliko CRDB ambayo hata baadhi ya wilaya nchini haijafika?? Kwa nini tenda ile ipewe CRDB ambayo ina kiasi kidogo sana cha wafanyakazi wa serikali ambao wanapitishia mishahara yao kule?

Nani alisaidia CRDB kushinda tenda ile!!!! kitendo ambacho kimeongeza gharama za kuhamisha pesa kutoka benki ya CRDB kwenda benki nyengine ambazo idadi kubwa ya wafanyakazi wa serikali wana akaunti za mishahara? ni kwa faida ya nani?

Nichukue nafasi hii kumuomba Rais wetu mpendwa Ndugu, Dkt John Joseph Pombe Magufuli auchunguze ule mchakato wote ulioipatia benki ya CRDB tenda ya kusambaza Mishahara iliyopelekea kuongezeka kwa gharama za "inter-banking transaction" tofauti na ilivyokuwa awali.

Ni hayo tu.

Tume ya Katiba

Mcheza pool table Maarufu.


Mbona kama CRDB inaandamwa vile???? Kwani vipi kuhusu NMB
Wadau,

Baada ya kuona mzee wa watu (Magufuli) anaandamwa na watu ambao walipaswa kumsaidia kuinua hali ya uchumi wa Taifa hili, watu ambao wanajua fika kwamba kupitia taasisi zao wamechangia katika kulirudisha Taifa hili nyuma kwa miongo kadhaa, watu ambao hawana shukrani kiasi ya kuombea mabaya kila kukicha, watu ambao elimu zao za uchumi hazisaidii Taifa kwa mawazo chanya, ......Nimeamua nimshauri mzee wangu JPM.

Ikumbukwe kuwa mwaka uliopita , benki ya CRDB ilishinda tenda ya usambazaji wa mishahara ya serikali, kwa maoni yangu binafsi na maoni ya watu wengi waliolitazama jambo lile kwa jicho la tatu walijiuliza iweje NMB yenye mtandao mpana wa huduma hadi vijijini, benki ambayo serikali ina hisa, benki ambayo ni mkombozi kwa walalahoi inyang'anywe tenda ile wakati ina sifa za ziada kuliko CRDB ambayo hata baadhi ya wilaya nchini haijafika?? Kwa nini tenda ile ipewe CRDB ambayo ina kiasi kidogo sana cha wafanyakazi wa serikali ambao wanapitishia mishahara yao kule?

Nani alisaidia CRDB kushinda tenda ile!!!! kitendo ambacho kimeongeza gharama za kuhamisha pesa kutoka benki ya CRDB kwenda benki nyengine ambazo idadi kubwa ya wafanyakazi wa serikali wana akaunti za mishahara? ni kwa faida ya nani?

Nichukue nafasi hii kumuomba Rais wetu mpendwa Ndugu, Dkt John Joseph Pombe Magufuli auchunguze ule mchakato wote ulioipatia benki ya CRDB tenda ya kusambaza Mishahara iliyopelekea kuongezeka kwa gharama za "inter-banking transaction" tofauti na ilivyokuwa awali.

Ni hayo tu.

Tume ya Katiba

Mcheza pool table Maarufu.
 
Kama madai yako ni genuine kwa nini uende Kwenye mitandao ya kijamii na jina feki?ukolonii utaisha lini nchi hii . Naonameachaa ksakama maguful i mmehamia crdbbank
 
. Kwa nini hamuulizi kuhusu Fanyeni kazi. Majungu hayajengi nchi!
Mkuu hapa mwenye majungu nani? Kimei aliyesema hali ya uchumi mbaya akipingana na ripoti za benki ya dunia au mwanzilishi wa mada? Mwenzio Kimei keshakanusha taarifa zake, lakini atambue kuwa JPM hajaribiwi
 
Wadau,

Baada ya kuona mzee wa watu (Magufuli) anaandamwa na watu ambao walipaswa kumsaidia kuinua hali ya uchumi wa Taifa hili, watu ambao wanajua fika kwamba kupitia taasisi zao wamechangia katika kulirudisha Taifa hili nyuma kwa miongo kadhaa, watu ambao hawana shukrani kiasi ya kuombea mabaya kila kukicha, watu ambao elimu zao za uchumi hazisaidii Taifa kwa mawazo chanya, ......Nimeamua nimshauri mzee wangu JPM.

Ikumbukwe kuwa mwaka uliopita , benki ya CRDB ilishinda tenda ya usambazaji wa mishahara ya serikali, kwa maoni yangu binafsi na maoni ya watu wengi waliolitazama jambo lile kwa jicho la tatu walijiuliza iweje NMB yenye mtandao mpana wa huduma hadi vijijini, benki ambayo serikali ina hisa, benki ambayo ni mkombozi kwa walalahoi inyang'anywe tenda ile wakati ina sifa za ziada kuliko CRDB ambayo hata baadhi ya wilaya nchini haijafika?? Kwa nini tenda ile ipewe CRDB ambayo ina kiasi kidogo sana cha wafanyakazi wa serikali ambao wanapitishia mishahara yao kule?

Nani alisaidia CRDB kushinda tenda ile!!!! kitendo ambacho kimeongeza gharama za kuhamisha pesa kutoka benki ya CRDB kwenda benki nyengine ambazo idadi kubwa ya wafanyakazi wa serikali wana akaunti za mishahara? ni kwa faida ya nani?

Nichukue nafasi hii kumuomba Rais wetu mpendwa Ndugu, Dkt John Joseph Pombe Magufuli auchunguze ule mchakato wote ulioipatia benki ya CRDB tenda ya kusambaza Mishahara iliyopelekea kuongezeka kwa gharama za "inter-banking transaction" tofauti na ilivyokuwa awali.

Ni hayo tu.

Tume ya Katiba

Mcheza pool table Maarufu.


Mbona kama CRDB inaandamwa vile???? Kwani vipi kuhusu NMB
Wadau,

Baada ya kuona mzee wa watu (Magufuli) anaandamwa na watu ambao walipaswa kumsaidia kuinua hali ya uchumi wa Taifa hili, watu ambao wanajua fika kwamba kupitia taasisi zao wamechangia katika kulirudisha Taifa hili nyuma kwa miongo kadhaa, watu ambao hawana shukrani kiasi ya kuombea mabaya kila kukicha, watu ambao elimu zao za uchumi hazisaidii Taifa kwa mawazo chanya, ......Nimeamua nimshauri mzee wangu JPM.

Ikumbukwe kuwa mwaka uliopita , benki ya CRDB ilishinda tenda ya usambazaji wa mishahara ya serikali, kwa maoni yangu binafsi na maoni ya watu wengi waliolitazama jambo lile kwa jicho la tatu walijiuliza iweje NMB yenye mtandao mpana wa huduma hadi vijijini, benki ambayo serikali ina hisa, benki ambayo ni mkombozi kwa walalahoi inyang'anywe tenda ile wakati ina sifa za ziada kuliko CRDB ambayo hata baadhi ya wilaya nchini haijafika?? Kwa nini tenda ile ipewe CRDB ambayo ina kiasi kidogo sana cha wafanyakazi wa serikali ambao wanapitishia mishahara yao kule?

Nani alisaidia CRDB kushinda tenda ile!!!! kitendo ambacho kimeongeza gharama za kuhamisha pesa kutoka benki ya CRDB kwenda benki nyengine ambazo idadi kubwa ya wafanyakazi wa serikali wana akaunti za mishahara? ni kwa faida ya nani?

Nichukue nafasi hii kumuomba Rais wetu mpendwa Ndugu, Dkt John Joseph Pombe Magufuli auchunguze ule mchakato wote ulioipatia benki ya CRDB tenda ya kusambaza Mishahara iliyopelekea kuongezeka kwa gharama za "inter-banking transaction" tofauti na ilivyokuwa awali.

Ni hayo tu.

Tume ya Katiba

Mcheza pool table Maarufu.
 
Wadau,

Baada ya kuona mzee wa watu (Magufuli) anaandamwa na watu ambao walipaswa kumsaidia kuinua hali ya uchumi wa Taifa hili, watu ambao wanajua fika kwamba kupitia taasisi zao wamechangia katika kulirudisha Taifa hili nyuma kwa miongo kadhaa, watu ambao hawana shukrani kiasi ya kuombea mabaya kila kukicha, watu ambao elimu zao za uchumi hazisaidii Taifa kwa mawazo chanya, ......Nimeamua nimshauri mzee wangu JPM.

Ikumbukwe kuwa mwaka uliopita , benki ya CRDB ilishinda tenda ya usambazaji wa mishahara ya serikali, kwa maoni yangu binafsi na maoni ya watu wengi waliolitazama jambo lile kwa jicho la tatu walijiuliza iweje NMB yenye mtandao mpana wa huduma hadi vijijini, benki ambayo serikali ina hisa, benki ambayo ni mkombozi kwa walalahoi inyang'anywe tenda ile wakati ina sifa za ziada kuliko CRDB ambayo hata baadhi ya wilaya nchini haijafika?? Kwa nini tenda ile ipewe CRDB ambayo ina kiasi kidogo sana cha wafanyakazi wa serikali ambao wanapitishia mishahara yao kule?

Nani alisaidia CRDB kushinda tenda ile!!!! kitendo ambacho kimeongeza gharama za kuhamisha pesa kutoka benki ya CRDB kwenda benki nyengine ambazo idadi kubwa ya wafanyakazi wa serikali wana akaunti za mishahara? ni kwa faida ya nani?

Nichukue nafasi hii kumuomba Rais wetu mpendwa Ndugu, Dkt John Joseph Pombe Magufuli auchunguze ule mchakato wote ulioipatia benki ya CRDB tenda ya kusambaza Mishahara iliyopelekea kuongezeka kwa gharama za "inter-banking transaction" tofauti na ilivyokuwa awali.

Ni hayo tu.

Tume ya Katiba

Mcheza pool table Maarufu.
CRDB ni benki yetu watanzania lakini pia inachangia sana kwenye ujenzi wa uchumi wa nchi yetu na ndio inaongoza kutoa mikopo kwa miradi ya serikali na kwa watanzania. Kwa nini yenyewe isipate tenda hiyo? Au kwa kuwa ni benki ya watanzania na sisi siku zote tunataka wapate wazungu wa NMB. Kweli umaskini hautaisha Tanzania. Acha kuwa na mawazo mgando
 
Watu bhana!!! kitu cha kushangaza kwel yaan kwa hali hii ya fikra hiziiii za kuanza tena kujaji kwann Crdb ipewe tenda ya kulipa mishahara na sio nmb tutatoka kwel kwenye huu umaskin, ukiangalia kwel crdb ni bank ya watanzania na inaongozwa na watanzania wazawa na inamchango mkubwa sana kwenye uchumi wa nchi imefinance miradi kibao ya kiuchumi hiv kwann tusifurah ikipata tenda ya kulipa mishahara badala yake tunataka wazungu watulipe. fikra finyu hizoo
 
Wadau,

Baada ya kuona mzee wa watu (Magufuli) anaandamwa na watu ambao walipaswa kumsaidia kuinua hali ya uchumi wa Taifa hili, watu ambao wanajua fika kwamba kupitia taasisi zao wamechangia katika kulirudisha Taifa hili nyuma kwa miongo kadhaa, watu ambao hawana shukrani kiasi ya kuombea mabaya kila kukicha, watu ambao elimu zao za uchumi hazisaidii Taifa kwa mawazo chanya, ......Nimeamua nimshauri mzee wangu JPM.

Ikumbukwe kuwa mwaka uliopita , benki ya CRDB ilishinda tenda ya usambazaji wa mishahara ya serikali, kwa maoni yangu binafsi na maoni ya watu wengi waliolitazama jambo lile kwa jicho la tatu walijiuliza iweje NMB yenye mtandao mpana wa huduma hadi vijijini, benki ambayo serikali ina hisa, benki ambayo ni mkombozi kwa walalahoi inyang'anywe tenda ile wakati ina sifa za ziada kuliko CRDB ambayo hata baadhi ya wilaya nchini haijafika?? Kwa nini tenda ile ipewe CRDB ambayo ina kiasi kidogo sana cha wafanyakazi wa serikali ambao wanapitishia mishahara yao kule?

Nani alisaidia CRDB kushinda tenda ile!!!! kitendo ambacho kimeongeza gharama za kuhamisha pesa kutoka benki ya CRDB kwenda benki nyengine ambazo idadi kubwa ya wafanyakazi wa serikali wana akaunti za mishahara? ni kwa faida ya nani?

Nichukue nafasi hii kumuomba Rais wetu mpendwa Ndugu, Dkt John Joseph Pombe Magufuli auchunguze ule mchakato wote ulioipatia benki ya CRDB tenda ya kusambaza Mishahara iliyopelekea kuongezeka kwa gharama za "inter-banking transaction" tofauti na ilivyokuwa awali.

Ni hayo tu.

Tume ya Katiba

Mcheza pool table Maarufu.
Kimei kwa kiwangi kikubwa kaathirika na uamuzi wa serikali kuhamisha amana zake BOT,alikuwa anachezea amana hizo kwa kuwahonga maafisa wa serikali,aliiuzia serikali fedha zake na kutengeneza faida sasa hali yake mbaya. Alihonga serikalini ili kupata biashara ya mihamala ya serikali ikiwamo mishahara, anahujumu mabenki mengine kwa kuchelewesha uhamisho wa malipo ili walipwaji wote wa serikali wafungue akaunti CRDB kifupi ni mnufaika mkubwa wa udhaifu uliokuwepo serikalini.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Siku zote mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe. Bank ya CRDB ni Benki yenye mafanikio makubwa kutokana na huduma zake bora kwa jamii. Sishangai Benki hii ikisemwa vibaya.
 
K
Duuu!!baada ya Dk. kimei kuwachana LIVE kwamba uchumi wa nchi kwa sasa uko ICU mmeshaanza kumwekea mizengwe.[/QUOTKumbuka crdb hiyo hiyo ilihusika kwenye ujenzi wa machinga complex na soko la mbeya na kwote gharama za ujenzi imeongezeka mara mbili na miradi yote ipo chini ya uchunguzi
 
Back
Top Bottom