Tangu nioe ni miaka miwili imepita. Ndoa ilihudhuriwa na wazazi wote na ndugu wachache waliopata nafasi.
Kesho nina safari ya mishe zangu tu za kutafuta riziki. Wilaya niendayo ndiko kilipo kijiji cha wazazi na jamaa wa mke wangu, na nitaenda huko kijijini kuwasabahi na kuwaona baadhi ya ndugu zake.
Je, kuna haja ya lijendi kulala pale ukweni au niwasabahi tu kisha nikalale zangu town?
Waheshimiwa malijendi,
Tangu nioe ni miaka miwili imepita.
Ndoa ilihudhuriwa na wazazi wote na ndugu wachache waliopata nafasi.
Kesho nina safari ya mishe zangu tu za kutafuta riziki.
Wilaya niendayo ndiko kilipo kijiji cha wazazi na jamaa wa mke wangu, na nitaenda huko kijijini kuwasabahi na kuwaona baadhi ya ndugu zake.
Je kuna haja ya lijendi kulala pale ukweni au niwasabahi tu kisha nikalale zangu town?
Mie nina miaka 8 kwenye ndoa sijawahi lala ukweni. Hata niwe na issue mpaka saa 4 usiku lazima nisepe au nikalale sehemu nyingine na nimezoea hivyo. Yaani hata wife analijua hilo.
Lijendi.. hapana ... hapana... ungekua na mkeo tu. Hapo kawasalimie chapa lapa. Na usitoke hata na shemeji zako eti mkapunge hali ya hewa. Salimia osha. Lijendi never die
Waheshimiwa malijendi,
Tangu nioe ni miaka miwili imepita.
Ndoa ilihudhuriwa na wazazi wote na ndugu wachache waliopata nafasi.
Kesho nina safari ya mishe zangu tu za kutafuta riziki.
Wilaya niendayo ndiko kilipo kijiji cha wazazi na jamaa wa mke wangu, na nitaenda huko kijijini kuwasabahi na kuwaona baadhi ya ndugu zake.
Je kuna haja ya lijendi kulala pale ukweni au niwasabahi tu kisha nikalale zangu town?
Mie nina miaka 8 kwenye ndoa sijawahi lala ukweni. Hata niwe na issue mpaka saa 4 usiku lazima nisepe au nikalale sehemu nyingine na nimezoea hivyo. Yaani hata wife analijua hilo.