Kuna haja ya CHADEMA kubadilika kuendana na hali halisi

Siasa ni dynamic siasa sio static. Siasa ni issues na matukio. Siasa za enzi ya chama kimoja miaka ya 80 ni tofauti na siasa za miaka ya 90 na 2000.

Msingi wa hoja yangu ni kwamba CHADEMA bado inatumia mbinu zile zile walizotumia wakati wa Mkapa na Kikwete kutaka kufanikisha malengo yao dhidi ya utawala wa sasa wa Magufuli.

Siasa za Magufuli zinabebwa na dhana za ubabe na jeuri tofauti na siasa za Kikwete aliyekuwa akiwakaribisha ikulu.

Siasa za leo sio za kistaarabu ni siasa za kejeri, kubeza, siasa za kujitoa ufahamu, hivi unafikiri wanaotukana watu 'wapumbavu' hawajui kuwa wanatukana. Unapotukanwa na kusema hewala namwachia Mungu opponent wako wanakucheka usifikiri watakuonea huruma, unapopigwa na kugeuza shavu la pili basi utaumizwa zaidi.

Leo Lissu kapigwa risasi hadharani no any serious action taken zaidi ya kusikia matamko, kesho atapigwa Lema keshokutwa Mbowe mtakaa kimya.

Katibu mkuu Mashinji angefaa sana siasa za enzi ya Kikwete sio siasa za Magufuli. Siasa za leo zinawafaa watu kama Heche, Lema, Msigwa, Mdee, Bulaya waweke wasemaji wakuu wa chama, watu ambao wakisema Lumumba wanasikia, ikulu inaamuka, mwandishi wa rais anajibu hata ikiwa weekend.

CCM walipoona katibu mkuu wao Mukama haendani na kasi waliyoitegemea alibadilishwa ndani ya miezi sita hawakuwa wajinga.

Ningekuwa mimi Mbowe ningefanya reform kuendana na siasa za wakati huu.

John Heche angechukua nafasi ya Mashinji immediately na Msigwa angekuwa Katibu Mwenezi wa chama. Sio kwamba waliopo hawafanyi kazi bali hawaendani na kasi ya sasa, wanaweza kutumika kwa utawala wa ndani (administration).

Naelewa hoja hujibiwa kwa hoja lakini sometime kwenye siasa vioja ndivyo vinavyosikika zaidi ya hoja yenyewe. Mimi naona nafasi ya uenezi itamfaa sana Msigwa kwa vile kwenye hoja yupo na kwenye vijembe yupo ndiyo siasa.

Nawasilisha.
Kumbe usipokaribishwa ikulu ndo ujeuri?? Aendelee tu kuwa jeuri ndugu JPM!
 
Mbowe alifanya kosa kubwa kumweka Mashinji kama Katibu Mkuu..

Ile nafasi ni ya Heche au Lissu..

Lazima awepo mtu aggressive pale..

Huwezi ku deal na CCM-Wauwaji kwa namna hii.
Mtu yuko tayari kukuua eti wewe unaenda umebeba matawi ya miti kuonyesha amani unafikiri atakuacha, ifikie mahali vijana tudai mabadiliko, sijui huko Nairobi wanapanga nini au wanasubiri apone then iwe business as usual wakimwacha mwenzao na kilema cha kudumu, lazima watuambie wamepanga nini kupeleka heavy and clear message kwa wahusika,

Sitaki tena ku experience upole wa Lowassa wa kukubali matokeo huku akijua tumeibiwa, ustaarabu wa Lowassa unamnufaisha yeye wakati viongozi wenzake wanaumia.
 
Your absolutely right, huyo katibu mkuu nimeshspiga kelele sana. Hakustahili kuwa katibu mkuu wa chama kama cdm, cdm imekuwa kwa kupitia siasa za mikikimikiki. Nilitarajia katibu mkuu angekuwa Marcus Albanie kwani ni mjenzi mzuri sana wa hoja na muhamasishaji makini. Kisha cdm ingekuwa na mwenezi mwenye kuhamasisha sera zieleweke. Huyo Mashinji ni kama uji uliopoa tena usio na sukari wala maziwa. Lakini naona cdm ikiishi ndani ya siasa za kikondoo za pandikizi la ccm Lowassa.
Siasa za leo zinataka mtu aggressive design ya Lissu, Heche hata Slaa angefaa sana sio mtu kama Mashinji au Lowassa.
 
Sitapenda kuandika mengi ila Chadema ilizembea sana kutokumpa ulinzi mtu aliyekuwa anaandamwa na serikali kama Lisu.

Wote tumeshuhudia system ya ulinzi ya Askofu Gwajima kuanzia kwenye stage mpaka escort yake pale hakuna cha Nissan nyeupe ya kutia puwa unless iwe imetangazwa vita ndio unaweza kumvamia Gwajima kijeshi, lakini yeye binafsi ametimiza wajibu wake wa kujilinda na the rest ni mamlaka ya Mungu.

Ni uzembe wa hali ya juu mmeufanya Chadema tusingependa hili lijirudie otherwise hao Red bregade wenu ni wa kazi gani?

Nyumba ya Kibatala kwa sasa ifungwe mifumo yote ya kiulinzi ya kielectroni na simu za viongozi wenu ambao ni threat kwa serikali muwape satellite phone kwa ajili ya mawasiliano muhimu. Nilisikitika sana kusikia mawasiliano ya Lisu yalikuwa yanaingiliwa na kitengo huu ni uzembe wa hali juu sana, hata Mange anawazidi akili.

Nakaribisha na wenye utaalam wa kiusalama wa kisasa tuwape ushauri Chadema maana hawajui kama kuna ni mashetani hapa Tanzania.
Mkuu Matola,

Ndio maana mimi nasisitiza baada ya tukio la Lissu kupigwa risasi lazima sasa chama kijiangalie upya wapi kilikosea na kije na mikakati inayoonekana ya kukilinda chama na viongozi wake.

Hivi chama kinashindwa kuwanunulia viongozi wake wakuu video camera na kuzi-install kwenye makazi, na magari yao, chama kinashindwa kuwapatia bodyguard hata mmoja mmoja viongozi wake wakuu ambao hawafiki hata 10. Lazima chama kijisahihishe na kije na muundo mapya wa kiuongozi.
 
Sisi wakuungana nao tupo nyuma ya keyboard tunajiita makamnda kwa kutumia user name fake na matusi kwa CCM tunadhan huko ndio kukisaidia chama
CCM wanaogopa nyuma ya keyboard kuliko unavyotegemea ndiyo maana wamemfungulia kesi boss wa Jamii forum, hakuna kitu kinawapa Taabu CCM kama mitandaoni kukosolewa Duniani kote kumbuka mitandaoni ndipo watu huanika kwa uwazi Uozo wote na mapungufu ya CCM na viongozi wake.
 
Kumbe usipokaribishwa ikulu ndo ujeuri?? Aendelee tu kuwa jeuri ndugu JPM!
Njia ya kukomesha ujeuri wa mtukufu malaika toka chato na Naibu Rais ndugu Daud Maliyamungu Bashite ni kuwafungulia kesi kibao kwenye mahakama za kimataifa kudai haki za mikutano ya siasa kupinga Uonevu unyanyasaji wao ikiwemo Tabia mbovu ya kuwabambikia kesi, kuwapiga Risasi na kutumia pesa za umma kuwalipa cyprian Musiba, Le mutuz na wenzao kueneza propanganda za kijinga jinga kibao pesa za walipa kodi inatumika kwa mambo ya hovyo hovyo yasiyo na Tija kwa Taifa
 
Njia ya kukomesha ujeuri wa mtukufu malaika toka chato na Naibu Rais ndugu Daud Maliyamungu Bashite ni kuwafungulia kesi kibao kwenye mahakama za kimataifa kudai haki za mikutano ya siasa kupinga Uonevu unyanyasaji wao ikiwemo Tabia mbovu ya kuwabambikia kesi, kuwapiga Risasi na kutumia pesa za umma kuwalipa cyprian Musiba, Le mutuz na wenzao kueneza propanganda za kijinga jinga kibao pesa za walipa kodi inatumika kwa mambo ya hovyo hovyo yasiyo na Tija kwa Taifa
We kweli unaminyoo ya safula

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We kweli unaminyoo ya safula

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mbweha uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Mbumbumbu juha mbulala kama nyie ndiyo mnaleta usumbufu mitandaoni kipimo cha uzuzu hapa JF ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo kanisani wala msikitini, Mbona ID yako ni ya kifala fala kishamba toka kolomije lakini hakuna mtu mwenye Akili anahangaika nayo? Acha upumbavu wako jikite kwenye hoja na kama huna hoja kojoa ukalale huko gheto kwa cyprian Musiba.
 
Mtu yuko tayari kukuua eti wewe unaenda umebeba matawi ya miti kuonyesha amani unafikiri atakuacha, ifikie mahali vijana tudai mabadiliko, sijui huko Nairobi wanapanga nini au wanasubiri apone then iwe business as usual wakimwacha mwenzao na kilema cha kudumu, lazima watuambie wamepanga nini kupeleka heavy and clear message kwa wahusika,

Sitaki tena ku experience upole wa Lowassa wa kukubali matokeo huku akijua tumeibiwa, ustaarabu wa Lowassa unamnufaisha yeye wakati viongozi wenzake wanaumia.
Rais wa kenya na makamu wake walikuwa na vijitabia vibovu vya ubabe kama vya Naibu Rais ndugu Daud Maliyamungu Bashite na mtukufu malaika toka chato, lakini baada ya kufikishwa kwenye mahakama za kimataifa wameacha udikteta sasa wanaishi vizuri na vyama vya upinzani, ili chadema wakae na Aman ni lazima kuishitaki Serikali ya CCM kwenye mahakama za kimataifa bila kufanya hivyo wasitegemee Amani milele kwani nia ya mtukufu na Naibu Rais Bashite Maliyamungu ni kurejesha mfumo wa chama kimoja tu CCM hawataki tena vyama vingi.
 
'Politics is not static is dynamic', Siasa ni issues siasa ni matukio. Siasa za enzi ya chama kimoja miaka ya 80 ni tofauti na siasa za miaka ya 90 na 2000, ni tofauti na siasa za leo.

Msingi wa hoja yangu ni kwamba CHADEMA bado inatumia mbinu zile zile walizotumia wakati wa Mkapa na Kikwete kutaka kufanikisha malengo yao dhidi ya utawala wa sasa wa Magufuli.

Siasa za Magufuli zinabebwa na dhana ya ubabe na jeuri tofauti na siasa za Kikwete aliyekuwa akiwakaribisha ikulu, yeye aliamini kwenye dhana ya mashauriano.

Siasa za leo sio za kistaarabu ni siasa za kejeli, kubeza, siasa za kujitoa ufahamu. Hivi mnafikiri wanaotukana watu 'wapumbavu' hawajui kuwa hayo ni matusi. Unapotukanwa na kusema hewala namwachia Mungu wanasiasa sampuli ya Lowassa, opponent wako wanakucheka usifikiri watakuonea huruma, unapopigwa na kugeuza shavu la pili basi utaumizwa zaidi.

Leo Lissu kapigwa risasi hadharani no any serious action taken by the party zaidi ya kusikia matamko, kesho atapigwa Lema keshokutwa Mbowe atafungwa mtakaa kimya.

Katibu mkuu Mashinji amepoa sana muoga hakichangamshi chama, angefaa sana enzi ya Kikwete sio siasa za Magufuli. Siasa za leo zinawafaa watu kama Heche, Lema, Msigwa, Mdee, Bulaya, Matiko wawe wasemaji wakuu wa chama, watu jasiri, sio waoga watu ambao wakisema Lumumba wanasikia, ikulu inaamuka, mwandishi wa rais anajibu hata ikiwa weekend.

CCM walipoona katibu mkuu wao Mukama haendani na kasi waliyoitegemea alibadilishwa ndani ya miezi sita hawakuwa wajinga.

Ningekuwa mimi Freeman Mbowe ningefanya yafuatayo;

John Heche angechukua nafasi ya Mashinji immediately na Msigwa angekuwa Katibu Mwenezi wa chama. Sio kwamba waliopo hawatimizi wajibu wao, Hapana, bali hawaendani na kasi ya sasa, wanaweza kutumika kwa utawala wa ndani (administration).

Naelewa hoja hujibiwa kwa hoja lakini sometimes kwenye siasa vioja ndivyo vinavyosikika zaidi ya hoja yenyewe. Mimi naona nafasi ya uenezi itamfaa sana Msigwa kwa vile kwenye hoja yupo na kwenye vijembe yupo ndiyo siasa.

Nawasilisha.

Mkuu Quinine heshima kwako

Kichwa cha habari pekee, hata usingeongeza nyama ndani yake, inatosha kabisa kuwakumbusha CHADEMA kwamba hali ya siasa tuliyonayo inahitaji mbinu mpya
 
Wewe mbweha uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Mbumbumbu juha mbulala kama nyie ndiyo mnaleta usumbufu mitandaoni kipimo cha uzuzu hapa JF ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo kanisani wala msikitini, Mbona ID yako ni ya kifala fala kishamba toka kolomije lakini hakuna mtu mwenye Akili anahangaika nayo? Acha upumbavu wako jikite kwenye hoja na kama huna hoja kojoa ukalale huko gheto kwa cyprian Musiba.
Kwann usimfundishe akarudi zizini kuliko kumpa majina yasiyo mstahili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'Politics is not static is dynamic', Siasa ni issues siasa ni matukio. Siasa za enzi ya chama kimoja miaka ya 80 ni tofauti na siasa za miaka ya 90 na 2000, ni tofauti na siasa za leo.

Msingi wa hoja yangu ni kwamba CHADEMA bado inatumia mbinu zile zile walizotumia wakati wa Mkapa na Kikwete kutaka kufanikisha malengo yao dhidi ya utawala wa sasa wa Magufuli.

Siasa za Magufuli zinabebwa na dhana ya ubabe na jeuri tofauti na siasa za Kikwete aliyekuwa akiwakaribisha ikulu, yeye aliamini kwenye dhana ya mashauriano.

Siasa za leo sio za kistaarabu ni siasa za kejeli, kubeza, siasa za kujitoa ufahamu. Hivi mnafikiri wanaotukana watu 'wapumbavu' hawajui kuwa hayo ni matusi. Unapotukanwa na kusema hewala namwachia Mungu wanasiasa sampuli ya Lowassa, opponent wako wanakucheka usifikiri watakuonea huruma, unapopigwa na kugeuza shavu la pili basi utaumizwa zaidi.

Leo Lissu kapigwa risasi hadharani no any serious action taken by the party zaidi ya kusikia matamko, kesho atapigwa Lema keshokutwa Mbowe atafungwa mtakaa kimya.

Katibu mkuu Mashinji amepoa sana muoga hakichangamshi chama, angefaa sana enzi ya Kikwete sio siasa za Magufuli. Siasa za leo zinawafaa watu kama Heche, Lema, Msigwa, Mdee, Bulaya, Matiko wawe wasemaji wakuu wa chama, watu jasiri, sio waoga watu ambao wakisema Lumumba wanasikia, ikulu inaamuka, mwandishi wa rais anajibu hata ikiwa weekend.

CCM walipoona katibu mkuu wao Mukama haendani na kasi waliyoitegemea alibadilishwa ndani ya miezi sita hawakuwa wajinga.

Ningekuwa mimi Freeman Mbowe ningefanya yafuatayo;

John Heche angechukua nafasi ya Mashinji immediately na Msigwa angekuwa Katibu Mwenezi wa chama. Sio kwamba waliopo hawatimizi wajibu wao, Hapana, bali hawaendani na kasi ya sasa, wanaweza kutumika kwa utawala wa ndani (administration).

Naelewa hoja hujibiwa kwa hoja lakini sometimes kwenye siasa vioja ndivyo vinavyosikika zaidi ya hoja yenyewe. Mimi naona nafasi ya uenezi itamfaa sana Msigwa kwa vile kwenye hoja yupo na kwenye vijembe yupo ndiyo siasa.

Nawasilisha.
Usijali kamanda. Tumewekeza kwenye matusi,kejeli na kupinga kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom