Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 8,921
- 23,251
Salam kwenu wakuu.
Hoja yangu nimeweza kuangalia kazi zifanywazo na mafundi ujenzi,umeme, bomba, seremala nk, Ni kazi zinazodumu walao miaka 25 kwenda juu ndipo ziweze kufanyiwa marekebisho tena kidogo.
Mimi ni shahidi wa hilo, tokea kuanza rasmi kazi za ufundi seremala mwaka 2005, kuna kazi nimezitengeneza mpaka Leo hii sijawahi kuitwa ama imeharibia au kuhitaji marekebisho.
Kwa ufupi malipo niliolipwa hayakunifaa kitu ila huduma nilio itoa mpaka leo ipo na inaweza kuwepo miaka 20 mbele.
Kadhalika mafundi ujenzi na wengineo kazi zao zinadumu na kudumu, na tunafanya kwa moyo ili idumu lakini tumekuwa watu wa kudharauliwa mno na kuonekana si lolote wala chochote linapokuja tathimini ya garama za ujenzi, fundi anakua last kutasminiwa.
Kwa kweli tunatakiwa kufikiriwa upya malipo yetu yanatakiwa kua juu hata Mara mbili ya garama za material.
Nimeleta hoja tuu.
Hoja yangu nimeweza kuangalia kazi zifanywazo na mafundi ujenzi,umeme, bomba, seremala nk, Ni kazi zinazodumu walao miaka 25 kwenda juu ndipo ziweze kufanyiwa marekebisho tena kidogo.
Mimi ni shahidi wa hilo, tokea kuanza rasmi kazi za ufundi seremala mwaka 2005, kuna kazi nimezitengeneza mpaka Leo hii sijawahi kuitwa ama imeharibia au kuhitaji marekebisho.
Kwa ufupi malipo niliolipwa hayakunifaa kitu ila huduma nilio itoa mpaka leo ipo na inaweza kuwepo miaka 20 mbele.
Kadhalika mafundi ujenzi na wengineo kazi zao zinadumu na kudumu, na tunafanya kwa moyo ili idumu lakini tumekuwa watu wa kudharauliwa mno na kuonekana si lolote wala chochote linapokuja tathimini ya garama za ujenzi, fundi anakua last kutasminiwa.
Kwa kweli tunatakiwa kufikiriwa upya malipo yetu yanatakiwa kua juu hata Mara mbili ya garama za material.
Nimeleta hoja tuu.