Mchungaji ni neno pana sana-Ndioo
Mchungaji ni neno pana sana-Ndioo
Ukisoma hii hotuba ya Papa Fransisco pengine itatusaidia kupata ufahamu mkubwa zaid- Hotuba inaanza kwa kusema-Mfano rahisi Masanja Mkandamizaji ni Mchungaji
Josephat Gwajima ni askofu
Lakini wote wawili hawawezi kupata upadre maisha yao yote
Dr Slaa ni padre akienda kwingineko atapewa uchungaji na Uaskofu
You are very right, au mashehe na wachungaji wengine hawauawi kwa sababu ni waaminifu asilimia mia?Mnaosema mapadre wanakula wake za watu ndio maana wanauwawa,niwaulize kitu kimoja.
Ni wao tu ndio wanachakata mbususu za wake zenu!!??
Ninyi mbona mnachakata sana mbususu za wake za wengine na waume zao wanafahamu lakini hawawaui!!??
Mkuu hakuna siri yoyote.Kuna siri kubwa nyuma ya pazia. Dar, Makambako na Mbeya
wewe unahangaika na huyo jamaa !!Ukisoma hii hotuba ya Papa Fransisco pengine itatusaidia kupata ufahamu mkubwa zaid- Hotuba inaanza kwa kusema-
Askofu ni mchungaji anayejua kuomba kama Musa kwa ajili ya watu!
Askofu ni mchungaji anayejua kuomba kama Musa kwa ajili ya watu! - | Vatican News
Papa Francisko alikutana na Maaskofu kutoka katika maeneo ya Kimisionari, wanaofanya Semina yao hadi tarehe 15 Septemba. Papa akifafanua maana ya ...www.vaticannews.va
Wewe umejuaje, unahusika na mikasa hiyo?Hii haiusiani ndugu wajitazame wao kwa wao
una ushaid ? au ndo wale wale wakulopoka ?Mkuu Kanisa Katoliki litamchungaje Padre wake anayechukua mke wa mtu?
mapadre sio watu wa kujichangany kiivo , na huwa wanapikwa sana ku master mazingira tofautNadhani kabla ya kupewa ulinzi,wachunguzwe kwanza mienendo yao kwenye jamii ikoje
Maaskofu wanasubiri wao waguswe? Hivi vifo tatanishi kwa mapadri vinashangaza sana ...Huu ni ujumbe ninaoupeleka kwa viongozi wa Juu wa Kanisa la Katoliki Tanzania , kwamba ni wazi sasa kuna mashambulizi kutoka kusikojulikana kuelekea kwa maparoko na wachungaji wao , Yalianzia Dar es Salaam na sasa yamefika Mbeya.
Bila kupepesa macho mauaji haya yana walakini mkubwa sana , ripoti za vifo vinavyotokea haziaminiki , kabla ya kufunguka zaidi nashauri Kanisa Katoliki kutafuta walinzi wenye uwezo mkubwa ili kulinda Wachungaji na Maaskofu wao .
una ushaid ? mkishikwa hamchelew kutunga storyNao wamezidi kula mademu za watu. Wakae huko utawani, Padre anaanzaje kukutwa mitaani kauwawa?????
katoliki sio km msikit , vyeo vinataratibu zake na havina maslai ya kumtoa mtu uhai tena twice a yr , it means hivyo vyeo vimeongezewa maslai hv karibuni mpk mauaji yashamir , inshu za wake za watu siez ipa kongole ,Pandre sio mchungaj , Pandre amefunz elimu ngum kuliko hata madaktar , inaeza chukua had miaka 5 ili uwe qualify kuwa padre na kweny hiyo miaka 5 maisha na akili yako inakuwa chinI ya wakufunz , huanz wengi ila humaliza wachacheTatueni migogoro yenu ya ndani ,,,Vita ya madaraka ndio chanzo Cha yote,,,pia suala la ulaji mbususu kwa wake za watu linachangia mno
hoja yako hailet picha bado mbona hatukusikia mauaji huko nyuma , au siku hz ndo wameijua dunia ,weng mnachangany mchungaj na padreMapadri wajaribu kufanya kazi walio itiwa au kusomea waachane na mambo mengine ya kidunia.
pastor na padre ni watu wawili tofaut hata kweny majukum wanatofautianaWewe unaelewa mchungaji ni mtu wa aina gani haswa? au mchungaji unahisi lazima atoke KKKT?
soma thread acha kukurupuka mkuuMbona sisikii masista wakiuawa zaidi ya hao mapadri, ukweli lazima usemwe kuwa mapenzi ndio chanzo vifo kwa hao mapadri. Msitake kuweka nchi roho juu ikiwa tatizo lipo wazi, ni mara ngapi tunashuhudia mtaani mapadri wakiwa na skendo kibao za kutembea na wake za watu mpaka kuwazalisha.
ulijuaje ukwel ?Wewe unaelewa mchungaji ni mtu wa aina gani haswa? au mchungaji unahisi lazima atoke KKKT?
Jukumu la vyombo vya usalama ni nin hasa? kila mahali ni politics tu. Kijana wa ACT alipotekwa jeshi la polisi likakana na kuja na matokeo kwamba Nondo alijificha kwa mpenzi wake na kwamba alijiteka mwenyewe ingawa ukweli ukaja kudhihirika kuwa jeshi la polisi lilidanganya-Wonders will never end in this country.
Padre hazururi mtaani km SheikhUshahidi wa kimazingira uko wazi!
ww acha ubish , kuna pastor na padre watu wawili tofauti , hata majukumu na wasifa ni tofaut ktk nyumba zao za ibadaJibu hoja kaka, Mchungaji ni mtu wa aina gani hasa kwenye kanisa? Binafsi naelewa Padre anaweza kuitwa kwa majina tofautitofauti mf. Mtawa, Mchungaji, khalifa, nk.
tuwekee ushaidi basWaambie waache kutembea na wake za watu