Kuna haja ganiiiiiiii jamaniiiiiiiiii!!!!!

Wana JF,kuna haja gani ya muoaji/muolewa kutumia pesa mingi kwenye harusi or sendoff...ni tamaduni or fashion?????lengo hasa ni nn,kujionyesha/kuiga/kufurahi/mkumbo tu....Nimemshuhudia jamaa aki2mia 30 mil. along with a series of vikao vichoshavyo ajabu,wakati kapanga analipa 60,000 p.m.......baada ya muda ndoa ndoano.......tunahitaji mabadiliko ya kweli kwenye hii field jameni.......it begins :angry::angry:

Kuna aina nyingi za uendawazimu (pysch disorder) na hiyo ni moja wapo!
 
for us christians wedding is only once in life,siku hiyo haitakaa ijirudie tena so sioni tatizo kama mnapendana mna malengo and uwezo unaruhusu its better to make the day unique and wonderful for both of u coz its the big step in life and the only which will never come back again
Kwa hiyo kuzaliwa, kufa, kustaafu nk kuta-come back again!!!
 
Inaboa kwa kweli,tena ukienda kwenye Kikao unapewa kima maalum kuwa wewe utatoa elf75.Hawajali una kazi gani na una mipango gani.Basi bora zile pesa tungekuwa tunawapa wanaooana wakaanzie maisha ingekuwa afadhali,lkn zote zinaishia kwenye vyakula,ukumbi,pombe nk then cku tatu baadae wana ndoa wanahaha wanalia njaa namadeni.Hatukumbuki kuwa sisi ni watu maskini.Inakera kwa kweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom