figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,720
- 55,859
Daraja la Chuma (MABEY BRIDGE) barabara ya muda (DIVERSION ROAD) katika Daraja la Mlalakua Barabara ya Mwai Kibaki hii inayotoka Morroco kwenda Kawe na Mbezi, limepata hitilafu hivyo kusababishafoleni.
Daraja hilo la muda, limetengeneza shomo upande mmoja wa kulia kama unatoka mjini. Hivyo ili dereva apite inabidi alenge bati lililopo ili gari isitumbukie mtoni. Hali hii imesababisha foleni kwani magari mengine yanashindwa kuvuka.
Nashauri yule Kandalasi alokuwa anatengeneza aende kufanyia matengenezo sehemu husika sababu inaleta adha.
Daraja hilo la muda, limetengeneza shomo upande mmoja wa kulia kama unatoka mjini. Hivyo ili dereva apite inabidi alenge bati lililopo ili gari isitumbukie mtoni. Hali hii imesababisha foleni kwani magari mengine yanashindwa kuvuka.
Nashauri yule Kandalasi alokuwa anatengeneza aende kufanyia matengenezo sehemu husika sababu inaleta adha.


