SIMU YA TOCHI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,385
- 894
Hatumtaki lowasa ndani ya ukawa
Hatutaki uswahili tena katika kuongoza nchi inatosha Lowassa anatosha padri pia anaweza ila hana busara
Hatutafuta Raisi wa Kanisa au Msikiti!
Ikulu ni kazi tu siyo sehemu ya Ibada.Tunataka mtu msafi na asiye fisadi na anaytetamka waziwazi na kwa vitendo kuwa Ufisadi kwangu mwiko.
Tunataka Rais ambaye anaweza kutamka neno'Ufisadi kwangu mwiko' nasisi Wa pembeni tukimtazama usoni tukubari,tunataka Rais ambaye anachukia udini na ukabira na tukimtizama usoni tukubari kwamba kweli jamaa analosema linatoka moyoni,lakini pia tunataka Rais anayeumia umasikini wetu wakati Taifa limebarikiwa kila kitu.Lakini je huyu Lowasa hayo anaweza kuyatamka tukakubari?
Lowassa hakuchukua hata senti tano ya Richmond,,, hata wabunge wanalijua hlo
Lowasa hafai maana uyu jama anavyotumia nguvu na pesa nyingi kushawishi watu wamkubali na akipita atajilipa sana
Na nadhan tutarud kwenye kodi ya kichwa kama enzi zilizopita.
Na namuona kama ana element kama za mkurunziza kwamba akipata uwo uraisi wenyewe hatokubali kutoka.
ccm wanajua kuwa dini ya mgombea wa ccm itaamua kwa kiasi kikubwa ushindi wao. Chadema watamsimamisha mkristo, ina maana kwamba ccm wakimsimamisha mkristo kama Lowassa kura za chadema zitagawanywa sana na wana uhakika wa kushinda.
wakimsimamisha muisilamu wanajiweka kwenye hatari ya kukosa kura za wakristo
Chadema kama wanataka wapige bingo, basi wamsimamishe ustaadhi ikiwa ccm watamsimisha mkristo, ushindi ni hakika
CCM wakimpitisha mtu tofauti na Lowassa tunafanya sherehe mapema. Wakimpitisha Lowassa mwenyewe tunafanya sherehe mapema zaidi
Tunataka Rais ambaye anaweza kutamka neno'Ufisadi kwangu mwiko' nasisi Wa pembeni tukimtazama usoni tukubari,tunataka Rais ambaye anachukia udini na ukabira na tukimtizama usoni tukubari kwamba kweli jamaa analosema linatoka moyoni,lakini pia tunataka Rais anayeumia umasikini wetu wakati Taifa limebarikiwa kila kitu.Lakini je huyu Lowasa hayo anaweza kuyatamka tukakubari?
Go back to class again.... hujui kitu.. then make a clear understanding of LETTERS
'L & R' wapi utumie sahihi ktk lugha ya kiswahili...!!!
Kisha urudi JF ufanye quoting ya maneno ya Mwl. Nyerere.., Nyerere hakuwa malaika... himself kasema hilo mara kadhaa...!!
Lowassa ndio KILA KITU kwa sasa...
Hakuna wa kushindana nae..., CCM itakufa mara moja, ikiwa tu Lowassa atahamia UKAWA .., najua wengi bado mnaota mchana...Wananchi WANAJUA MAMBO MENGI SANA SIKU HIZI, KWA UWAZI, fuata mtu wa mtaani kabisa, akuchambulie KUHUSU ESCROW, utajua nasema nn, kuhusu wanyama kwenda nje...kuhusu Katiba ilivyo geuzwa geuzwa utashangaa... hivyo UMANI KUBWA KWA WANANCHI WENGIII TZ kwa CCM sasa hv imebakia kwa Lowassa tu... huu ndio ukweli..
Ikiwa Lowassa ata ondoka kwenda UKAWA, na niweke wazi UKAWA WAKO WILLING 1000% kumpokea, basi CCM ndio mwisho wake kama KANU...!!!
CCM hawana jinsi hv sasa, either wampitishe Lowassa au CCM ife...!!! ukikataa utakuwa KIPOFU WA SIASA ZA UKWELI hv sasa Tz...!!!
That's why I called you "STU-PID" Cause no matter how hard you are being taught still you don't seem to understand the very simple lesson! These are characteristics of a Stu-pid person like you!