Hercule Poirot
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 1,770
- 1,555
Karahamagi...chenge vijisent...kapuyanga..rost tamu # team low hasa ...wadanganyika tumerogwa?
Msuguano huu hauhitaji miwani kuona. Utaona tu hata kama una macho ya kichina.
Wapambe, wananchi na wapenda mabadiliko muonekano wa wazi ni Mh huyu kugombea popote pale ili mradi anagombea.
Hii dalili ya kubadili ratiba ni ishara iliyomlenga Bwana Lowasa
. Lazima ieleweke ndan ya ccm kuna wapenda mabadiliko wanaamini yanaweza kutokea ndani ya ccm
Kimsingi Mwandosya hawez tena. Salim A. Salim anaona jins atakavyochafuka tens hatakubali. Judge hawezi hapa namaanisha bwana Ramadhani.
Ule msemo wa baba Nyerere utadhihiri Leo. Ikulu ni mahali patakatifu ukiingia kichw kichw utaaibika tu
Tanzania tumekosa kitu kimoja tuu, tungekuwa Ulaya ya africa. Elimu ni Tatizo kubwa tu kwa wananchi, wengi wetu tukiwa vijiweni tunashindwa kujenga hoja mbele ya kundi kubwa la vijana wanaoweza kuichambua political science, hili linawapelekea waone mkombozi wao kuwa yule wanaeamini.
Nionavyo mimi, Nape anahangaika kumzuia Lowassa, huyu jamaa ni kama maji ya mafuriko utashindwa tu. Lowasa sijui kwa nini amekubalika haraka sana. Lowassa ameamua tu kutumia busara na utu uzima wake. Lakini kama alivyofanya zzk Lowassa angeweza pia. Lakin ukubwa dawa. Sasa watanzania ambao wamekosa elimu rasmi ya chuo kikuu wao chuo kikuu chao ni street, mara nying wengi ambao hawakubahatika wanatumia street university.
Kiukweli wameelimika na hawakubali. Hapa utawataja wapiga debe, machinga, mama ntilie, Bodaboda wanavyuo nk. Huyu ni LOWASA na Mbowe na Slaa. Kwa sasa siasa za Tanzania ni LOWASA NA CHADEMA. UTAKE USIKATAKE.
Kwingineko ndani ya CCM kuna wapenda mabadiliko, na hapa mtoe nape, Kwa ccm shida iko hapa kuzuia mabadiliko, mabadiliko ya kumuweka mgombea jinsia K yanakaribia kupitwa na wakati, kwa sababu hakuna wakuhimili mikiki ya siasa na hapa ukumbuke ni pamoja na siasa za kimagharibi.
Sasa utashangaa mwananchi asiejua chuo kikuu anakuchambulia siasa. Na anaamini maneno yake.
Mbona mnatumia nguvu sana kumuuza? Hamjistukii!! Inaibua maswali Mengi sana kuhusu uwezo wake.
Bila shaka katka hiyo timu kuna mpaka'marketing manager' eh!
ccm wanajua kuwa dini ya mgombea wa ccm itaamua kwa kiasi kikubwa ushindi wao. Chadema watamsimamisha mkristo, ina maana kwamba ccm wakimsimamisha mkristo kama Lowassa kura za chadema zitagawanywa sana na wana uhakika wa kushinda.
wakimsimamisha muisilamu wanajiweka kwenye hatari ya kukosa kura za wakristo
Chadema kama wanataka wapige bingo, basi wamsimamishe ustaadhi ikiwa ccm watamsimisha mkristo, ushindi ni hakika
Acheni kudanganyana, LOWASSA ndiye mgombea urais ajaye kupitia CCM, na ndiye RAIS wa awamu ijayo! mpaka sasa CCM ndio chama pekee kinachoweza kutupatia RAIS bora wa awamu ifuatayo!
ccm wanajua kuwa dini ya mgombea wa ccm itaamua kwa kiasi kikubwa ushindi wao. Chadema watamsimamisha mkristo, ina maana kwamba ccm wakimsimamisha mkristo kama Lowassa kura za chadema zitagawanywa sana na wana uhakika wa kushinda.
wakimsimamisha muisilamu wanajiweka kwenye hatari ya kukosa kura za wakristo
Chadema kama wanataka wapige bingo, basi wamsimamishe ustaadhi ikiwa ccm watamsimisha mkristo, ushindi ni hakika
Msuguano huu hauhitaji miwani kuona. Utaona tu hata kama una macho ya kichina.
Wapambe, wananchi na wapenda mabadiliko muonekano wa wazi ni Mh huyu kugombea popote pale ili mradi anagombea.
Hii dalili ya kubadili ratiba ni ishara iliyomlenga Bwana Lowasa
. Lazima ieleweke ndan ya ccm kuna wapenda mabadiliko wanaamini yanaweza kutokea ndani ya ccm
Kimsingi Mwandosya hawez tena. Salim A. Salim anaona jins atakavyochafuka tens hatakubali. Judge hawezi hapa namaanisha bwana Ramadhani.
Ule msemo wa baba Nyerere utadhihiri Leo. Ikulu ni mahali patakatifu ukiingia kichw kichw utaaibika tu
Tanzania tumekosa kitu kimoja tuu, tungekuwa Ulaya ya africa. Elimu ni Tatizo kubwa tu kwa wananchi, wengi wetu tukiwa vijiweni tunashindwa kujenga hoja mbele ya kundi kubwa la vijana wanaoweza kuichambua political science, hili linawapelekea waone mkombozi wao kuwa yule wanaeamini.
Nionavyo mimi, Nape anahangaika kumzuia Lowassa, huyu jamaa ni kama maji ya mafuriko utashindwa tu. Lowasa sijui kwa nini amekubalika haraka sana. Lowassa ameamua tu kutumia busara na utu uzima wake. Lakini kama alivyofanya zzk Lowassa angeweza pia. Lakin ukubwa dawa. Sasa watanzania ambao wamekosa elimu rasmi ya chuo kikuu wao chuo kikuu chao ni street, mara nying wengi ambao hawakubahatika wanatumia street university.
Kiukweli wameelimika na hawakubali. Hapa utawataja wapiga debe, machinga, mama ntilie, Bodaboda wanavyuo nk. Huyu ni LOWASA na Mbowe na Slaa. Kwa sasa siasa za Tanzania ni LOWASA NA CHADEMA. UTAKE USIKATAKE.
Kwingineko ndani ya CCM kuna wapenda mabadiliko, na hapa mtoe nape, Kwa ccm shida iko hapa kuzuia mabadiliko, mabadiliko ya kumuweka mgombea jinsia K yanakaribia kupitwa na wakati, kwa sababu hakuna wakuhimili mikiki ya siasa na hapa ukumbuke ni pamoja na siasa za kimagharibi.
Sasa utashangaa mwananchi asiejua chuo kikuu anakuchambulia siasa. Na anaamini maneno yake.
Lowasa ametudharau watanzania. Hawezi kutununua kama mafungu ya nyanya sokoni.uongozi haununuliwi kwa pesa. Kiongozi bora anakubalika bila kutumia ushawishi wa pesa.El hatumtaki watanzania atatuuza.kama anaona anafaa sana kuwa rais aanzishe chama chake ahame na wafuasi wake watampigia kura.hakuna mpinzani anayetaka kujiunga na fisadi lowasa.
Hatutafuta Raisi wa Kanisa au Msikiti!
Ikulu ni kazi tu siyo sehemu ya Ibada.Tunataka mtu msafi na asiye fisadi na anaytetamka waziwazi na kwa vitendo kuwa Ufisadi kwangu mwiko.
ccm wanajua kuwa dini ya mgombea wa ccm itaamua kwa kiasi kikubwa ushindi wao. Chadema watamsimamisha mkristo, ina maana kwamba ccm wakimsimamisha mkristo kama Lowassa kura za chadema zitagawanywa sana na wana uhakika wa kushinda.
wakimsimamisha muisilamu wanajiweka kwenye hatari ya kukosa kura za wakristo
Chadema kama wanataka wapige bingo, basi wamsimamishe ustaadhi ikiwa ccm watamsimisha mkristo, ushindi ni hakika