Kuna dalili moja tu E. Lowassa kuhamia Upinzani

Kuna dalili moja tu E. Lowassa kuhamia Upinzani

mansakankanmusa

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
4,161
Reaction score
801
Msuguano huu hauhitaji miwani kuona. Utaona tu hata kama una macho ya kichina.

Wapambe, wananchi na wapenda mabadiliko muonekano wa wazi ni Mh huyu kugombea popote pale ili mradi anagombea.

Hii dalili ya kubadili ratiba ni ishara iliyomlenga Bwana Lowasa
. Lazima ieleweke ndan ya ccm kuna wapenda mabadiliko wanaamini yanaweza kutokea ndani ya ccm


Kimsingi Mwandosya hawez tena. Salim A. Salim anaona jins atakavyochafuka tens hatakubali. Judge hawezi hapa namaanisha bwana Ramadhani.

Ule msemo wa baba Nyerere utadhihiri Leo. Ikulu ni mahali patakatifu ukiingia kichw kichw utaaibika tu

Tanzania tumekosa kitu kimoja tuu, tungekuwa Ulaya ya africa. Elimu ni Tatizo kubwa tu kwa wananchi, wengi wetu tukiwa vijiweni tunashindwa kujenga hoja mbele ya kundi kubwa la vijana wanaoweza kuichambua political science, hili linawapelekea waone mkombozi wao kuwa yule wanaeamini.

Nionavyo mimi, Nape anahangaika kumzuia Lowassa, huyu jamaa ni kama maji ya mafuriko utashindwa tu. Lowasa sijui kwa nini amekubalika haraka sana. Lowassa ameamua tu kutumia busara na utu uzima wake. Lakini kama alivyofanya zzk Lowassa angeweza pia. Lakin ukubwa dawa. Sasa watanzania ambao wamekosa elimu rasmi ya chuo kikuu wao chuo kikuu chao ni street, mara nying wengi ambao hawakubahatika wanatumia street university.

Kiukweli wameelimika na hawakubali. Hapa utawataja wapiga debe, machinga, mama ntilie, Bodaboda wanavyuo nk. Huyu ni LOWASA na Mbowe na Slaa. Kwa sasa siasa za Tanzania ni LOWASA NA CHADEMA. UTAKE USIKATAKE.

Kwingineko ndani ya CCM kuna wapenda mabadiliko, na hapa mtoe nape, Kwa ccm shida iko hapa kuzuia mabadiliko, mabadiliko ya kumuweka mgombea jinsia K yanakaribia kupitwa na wakati, kwa sababu hakuna wakuhimili mikiki ya siasa na hapa ukumbuke ni pamoja na siasa za kimagharibi.

Sasa utashangaa mwananchi asiejua chuo kikuu anakuchambulia siasa. Na anaamini maneno yake.
 
ccm wanajua kuwa dini ya mgombea wa ccm itaamua kwa kiasi kikubwa ushindi wao. Chadema watamsimamisha mkristo, ina maana kwamba ccm wakimsimamisha mkristo kama Lowassa kura za chadema zitagawanywa sana na wana uhakika wa kushinda.

wakimsimamisha muisilamu wanajiweka kwenye hatari ya kukosa kura za wakristo

Chadema kama wanataka wapige bingo, basi wamsimamishe ustaadhi ikiwa ccm watamsimisha mkristo, ushindi ni hakika
 
Msuguano huu hauhitaji miwani kuona. Utaona tu hata kama una macho ya kichina.

Wapambe, wananchi na wapenda mabadiliko muonekano wa wazi ni Mh huyu kugombea popote pale ili mradi anagombea.

Hii dalili ya kubadili ratiba ni ishara iliyomlenga Bwana Lowasa
. Lazima ieleweke ndan ya ccm kuna wapenda mabadiliko wanaamini yanaweza kutokea ndani ya ccm


Kimsingi Mwandosya hawez tena. Salim A. Salim anaona jins atakavyochafuka tens hatakubali. Judge hawezi hapa namaanisha bwana Ramadhani.

Ule msemo wa baba Nyerere utadhihiri Leo. Ikulu ni mahali patakatifu ukiingia kichw kichw utaaibika tu
Lowassa hana mbadala watake wasitake iwe ccm au ukawa au chama kinachoitwa bua lazima atinge magogoni
 
Hatutaki uswahili tena katika kuongoza nchi inatosha Lowassa anatosha padri pia anaweza ila hana busara
 
ccm wanajua kuwa dini ya mgombea wa ccm itaamua kwa kiasi kikubwa ushindi wao. Chadema watamsimamisha mkristo, ina maana kwamba ccm wakimsimamisha mkristo kama Lowassa kura za chadema zitagawanywa sana na wana uhakika wa kushinda.

wakimsimamisha muisilamu wanajiweka kwenye hatari ya kukosa kura za wakristo

Chadema kama wanataka wapige bingo, basi wamsimamishe ustaadhi ikiwa ccm watamsimisha mkristo, ushindi ni hakika

Hatutafuta Raisi wa Kanisa au Msikiti!

Ikulu ni kazi tu siyo sehemu ya Ibada.Tunataka mtu msafi na asiye fisadi na anaytetamka waziwazi na kwa vitendo kuwa Ufisadi kwangu mwiko.
 
[h=3][/h]
Mkuu Pasco you must be aware with this as a good from of Mhe.
Nini maoni yako kama rafiki na kama itakupendeza na ilikuonyesha uhalisia wa Urafiki na upenzi kama hautakwazika Tathimini yako kwenye hili tena kupitia thread inayojitegemea itapendeza.

Natumai humo na hujashiriki kwenye andishi hilo hapo chini inayohusiana na Kampeni ya Mhe. kuweza kuleta mchango wako.


[h=3]About Hon.Edward Lowassa | 4U Movement[/h][h=3]UTUMISHI[/h] Utumishi uliotukuka – aliacha ofisi ya Waziri Mkuu dar na kwenda kuzunguka nchi nzima mwaka 2006 kuhakikisha hamna mtanzania anayekufa kwa baa kubwa la njaa kipindi kile
.

[h=3]UWAJIBIKAJI[/h] Kusimamia UWAJIBIKAJI kwa watendaji wote mawilayani na kuondokana na utamaduni wa ‘business as usual’ kwenye utendaji na ripoti za watendaji na kusimamia uwajibikaji ipasavyo.

[h=3]UZALENDO.[/h] Amejenga UMOJA wa kitaifa, kwa kuhakikisha huduma muhimu zinapelekwa sawa sawa vijijini. Kama shule ya sekondari kwenye kila kata na mpango wa zahanati kila kata, ambao uliishia katikati, na pia kuheshimu imani za madhehebu tofauti na kushiriki nao shughuli za maendeleo

[h=3]UMOJA[/h] Amesimamia UZALENDO wa kweli, pale alipokuwa Waziri wa Maji kwa kudharau mkataba dhalimu wa kikoloni na kusimamia mradi wa maji kutoa ziwa victoria dhidi ya kelele nyingi za nchi ya misri na mataifa ya nje. Fedha za walipa kodi Tanzania zilitumika kujenga mradi.
 
Last edited by a moderator:
Tunataka Rais ambaye anaweza kutamka neno'Ufisadi kwangu mwiko' nasisi Wa pembeni tukimtazama usoni tukubari,tunataka Rais ambaye anachukia udini na ukabira na tukimtizama usoni tukubari kwamba kweli jamaa analosema linatoka moyoni,lakini pia tunataka Rais anayeumia umasikini wetu wakati Taifa limebarikiwa kila kitu.Lakini je huyu Lowasa hayo anaweza kuyatamka tukakubari?
 
Acheni kudanganyana, LOWASSA ndiye mgombea urais ajaye kupitia CCM, na ndiye RAIS wa awamu ijayo! mpaka sasa CCM ndio chama pekee kinachoweza kutupatia RAIS bora wa awamu ifuatayo!
 
Mambo haya hata Kikwete naye alidhaniwa atahamia upinzani.
 
Mtu anayetishia kuhamia upinzani ili kuwalazimisha ninyi CCM kumteua kuwa mgombea wenu wa Urais, huyu hawafai, ni wa kutupa kuleeeee! Mtu wa jinsi hii siyo mwanachama mwaminifu, atawezaje kuwa pia Mwenyekiti wa Chama chenu???? Huyu ni msakatonge!!!!
 
Upinzani labda akaungane na wasaliti wenzake ACT lakini UKAWA hakuna nafasi ya kumpokea makapi ya ccm.
 
Acheni kudanganyana, LOWASSA ndiye mgombea urais ajaye kupitia CCM, na ndiye RAIS wa awamu ijayo! mpaka sasa CCM ndio chama pekee kinachoweza kutupatia RAIS bora wa awamu ifuatayo!

hata mgonjwa anayekaribia kufa hujipa moyo atapona kumbe ndo anakufa nyie team Lowasa endeleeni kujipa moyo sana .
IKULU SIYO PANGO LA MAFISADI .
 
Msuguano huu hauhitaji miwani kuona. Utaona tu hata kama una macho ya kichina.

Wapambe, wananchi na wapenda mabadiliko muonekano wa wazi ni Mh huyu kugombea popote pale ili mradi anagombea.

Hii dalili ya kubadili ratiba ni ishara iliyomlenga Bwana Lowasa
. Lazima ieleweke ndan ya ccm kuna wapenda mabadiliko wanaamini yanaweza kutokea ndani ya ccm


Kimsingi Mwandosya hawez tena. Salim A. Salim anaona jins atakavyochafuka tens hatakubali. Judge hawezi hapa namaanisha bwana Ramadhani.

Ule msemo wa baba Nyerere utadhihiri Leo. Ikulu ni mahali patakatifu ukiingia kichw kichw utaaibika tu

Tanzania tumekosa kitu kimoja tuu, tungekuwa Ulaya ya africa. Elimu ni Tatizo kubwa tu kwa wananchi, wengi wetu tukiwa vijiweni tunashindwa kujenga hoja mbele ya kundi kubwa la vijana wanaoweza kuichambua political science, hili linawapelekea waone mkombozi wao kuwa yule wanaeamini.

Nionavyo mimi, Nape anahangaika kumzuia Lowassa, huyu jamaa ni kama maji ya mafuriko utashindwa tu. Lowasa sijui kwa nini amekubalika haraka sana. Lowassa ameamua tu kutumia busara na utu uzima wake. Lakini kama alivyofanya zzk Lowassa angeweza pia. Lakin ukubwa dawa. Sasa watanzania ambao wamekosa elimu rasmi ya chuo kikuu wao chuo kikuu chao ni street, mara nying wengi ambao hawakubahatika wanatumia street university.

Kiukweli wameelimika na hawakubali. Hapa utawataja wapiga debe, machinga, mama ntilie, Bodaboda wanavyuo nk. Huyu ni LOWASA na Mbowe na Slaa. Kwa sasa siasa za Tanzania ni LOWASA NA CHADEMA. UTAKE USIKATAKE.

Kwingineko ndani ya CCM kuna wapenda mabadiliko, na hapa mtoe nape, Kwa ccm shida iko hapa kuzuia mabadiliko, mabadiliko ya kumuweka mgombea jinsia K yanakaribia kupitwa na wakati, kwa sababu hakuna wakuhimili mikiki ya siasa na hapa ukumbuke ni pamoja na siasa za kimagharibi.

Sasa utashangaa mwananchi asiejua chuo kikuu anakuchambulia siasa. Na anaamini maneno yake.

CCM wakimpitisha mtu tofauti na Lowassa tunafanya sherehe mapema. Wakimpitisha Lowassa mwenyewe tunafanya sherehe mapema zaidi
 
Acheni kudanganyana, LOWASSA ndiye mgombea urais ajaye kupitia CCM, na ndiye RAIS wa awamu ijayo! mpaka sasa CCM ndio chama pekee kinachoweza kutupatia RAIS bora wa awamu ifuatayo!

Mbona mnatumia nguvu sana kumuuza? Hamjistukii!! Inaibua maswali Mengi sana kuhusu uwezo wake.

Bila shaka katka hiyo timu kuna mpaka'marketing manager' eh!
 
Muda ni rafiki wa kweli ambaye hajawahi kudanganya...tukiondoa mihemko ya uchama Lowassa ana 95% ya kuwa rais wa awamu ya tano...
 
Back
Top Bottom