donibrysonimbaga
Member
- Jan 21, 2015
- 11
- 1
Habari wanajf, nauliza kama kuna computer programmer yoyote humu, ili tuweze kuzungumza mawili matatu? mimi sio computer programmer bali bado nipo katika hatua za awali kabisa kufikia hilo, kwa hiyo nikaona sio mbaya niongee na wakubwa naweza kupata lolote litakalo nisaidia ili nami nifike huko, asante.