monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,490
- 13,022
Utakufa kinywa wazi mzandiki wewe!Utakufa kwa stroke wewe kibaraka wa shetani.
Hili povu ni ushahidi tosha mmeumbuka na sasa mnatapatapa kama vitungu kwenye mafuta.
Tunajua namna ya ku-deal na nyinyi pamoja na shetani mkuu anaewezesha wanao waende toilet.
Lissu njaa inamuua huko America na bado kodi ya Nyumba inamsubiri huko Belgium. Atalala kwenye theluji. Njaa haina ukamandaSio kila kitu cha kuweka vingine ni vitu sensitive hasa ukizingatia mvutano uliopo juu ya hii issue.
Exactly mkuu. Hiyo clip hata Kaka Halimasi Mdee na wahuni wenzake wanaweza kuitengeneza na kurusha katika mitandao ya kijamii ili kuzua taharuki na sintofahamu katika Taifa letu pendwa. Habari za ziara ya Mhaini Tundu huko ughaibuni zinaisha ladha wanatafuta Kiki mpya.Katika hiyo audio clip,kuna kiongozi yeyote kutoka serikalini ambaye sauti yake inasikika?ama sauti inayosikika katika hiyo clip,imetambuliwa ni kama ya kiongozi gani serikarilini?kwamaana mtu yeyote bado anaweza kufanya kitu kama hiko kwa sababu anazozijua yeye!!!
Rudia kusoma sijasema ameisaliti nchi bali nimesema kama kweli kaisaliti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa msaliti vitani dawa yako Ni moja unauwawa tu hakuna mjadalaNikiwa nipita mitandaoni na kuingia katila akaunti ya twitter ya Mdee,nimekuta ame-post clip ambayo ukiisikiliza na kama ni ya kweli,inatuthibutishia ni kina nani walimshambulia kamanda wetu na pia inaonyesha bado wana nia hiyo.
Najiuliza hiyo clip ni kweli imevuja au wameivujisha makusudi kwa lengo la kumtisha tu au wameivujisha kwa malengo ya kutoa siri (kuhujumiana)?
Mhusuka hakutaja mtu kwa jina ila anaongelea anachostahili kufanyiwa wanaemuita msaliti hata baada ya kusalimika huku wakigusia ziara yake huko nje.
Mhusika anaongelea habari ya kamanda kuhojiwa huko aliko na huku akisema wazi kuwa katika vita ya uchumi kama kuna mtu anawakwamisha basi mnatanguliza yeye.
In short,ni clip fupi lakini inayotupa picha ya kina nani walihusika na Mdee amewa-tag wenye mamlaka katika hiyo tweet yake.
Nashauri clip ichunguzwe uhalisia wake na wahusika wahojiwe japo hawajataja jina la mtu vinginevyo msilaumu watu kwa kuwanyooshea kidole.
Nimalizie kwa kusema, iwapo hili jambo wataendelea kuli-handle kwa style hii, basi wajue linaweza kupelekea anguko lao wakati wowote.
Labda Buku Saba anayolipwa kwa kila mchango kwenye thread. Kilangila.Una hela wewe ya kumchangia lissu
Na wewe unayetumwa kuua watu unawaita wasaliti, siku moja utauawa kama ambavyo waliompiga risasi TAL wanatafutwa kuuawa ili kufuta ushahidi. Imekuwa hivyo miaka nenda rudi. Ukitumwa kuua tambua kuwa mambo yakiharibika na wewe utauawa. Kilangila.Ukiwa msaliti vitani dawa yako Ni moja unauwawa tu hakuna mjadala
Surely, you have unnecessarily complicated it. Kilangila.
Ukiwa msaliti vitani dawa yako Ni moja unauwawa tu hakuna mjadala
CHADEMA ni Kama maisha ya Watu washirikina hawaishagi kutest uchawi mahali palipo Shwari mtakaa one day yes!! siku zinakwenda miaka 65 chama cha ukombozi kinashika hatamu
Na wewe unayetumwa kuua watu unawaita wasaliti, siku moja utauawa kama ambavyo waliompiga risasi TAL wanatafutwa kuuawa ili kufuta ushahidi. Imekuwa hivyo miaka nenda rudi. Ukitumwa kuua tambua kuwa mambo yakiharibika na wewe utauawa. Kilangila.
Sasa wewe clip yenyewe umeikuta kwenye mtandao alafu unasema sio vitu vyote vyakuweka tukueleweje.Ulitakiwa useme wewe binafsi huna uwezo wakuiweka hapa ila sio kwa hoja uliyoitoa.
Afadhali umesema ukweli kama Maghufuli, lakini bado wewe ni mnafiki unaposema Lissu ni muongo.Ukiwa msaliti vitani dawa yako Ni moja unauwawa tu hakuna mjadala
Andika vitu vyenye uhalisia mkuu, otherwise soma tu upite. We mkongwe humu lakini una behave kama njuka.Lissu njaa inamuua huko America na bado kodi ya Nyumba inamsubiri huko Belgium. Atalala kwenye theluji. Njaa haina ukamanda