Kuna changamoto EA radio na wasafi radio!?

Kuna changamoto EA radio na wasafi radio!?

primaquin

Senior Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
161
Reaction score
94
Watanzania wenzangu habari!
Nimekuwa kwa muda mrefu nikisikiliza radio tajwa hasa vipindi vya michezo na magazeti. Lakini hata hivyo siku za karibuni sisikii vipindi hivyo badala yake muda mwingi wanapiga muziki! Je kuna changamotot yoyote ya uandishi au maadili !
 
Watanzania wenzangu habari!
Nimekuwa kwa muda mrefu nikisikiliza radio tajwa hasa vipindi vya michezo na magazeti. Lakini hata hivyo siku za karibuni sisikii vipindi hivyo badala yake muda mwingi wanapiga muziki! Je kuna changamotot yoyote ya uandishi au maadili !
Hata clouds wameanza kutangaza michezo hivi karibuni, nadhani ni sababu ya kifo cha master T, pengine na kusimama kwa ligi ya ndani, lkn sbb kubwa nadhani ni kuomboleza
 
Watanzania wenzangu habari!
Nimekuwa kwa muda mrefu nikisikiliza radio tajwa hasa vipindi vya michezo na magazeti. Lakini hata hivyo siku za karibuni sisikii vipindi hivyo badala yake muda mwingi wanapiga muziki! Je kuna changamotot yoyote ya uandishi au maadili !
Naona hata EATV kuna vipindi wamevitoa hasa Friday night live na 5selekt
 
Magazeti yeyewe kuna siku hayakuchapishwa nadhani ile siku ya machafuko. Vipindi vingi vya luninga na redio vimeathirika kutokana na kadhia hiyo
 
Vyombo vyote vya habari nchini ni machawa tena promax hiyo kukaa kimya wala sio kuomboleza ni ukimya wa kulinda matumbo yao na kuhofia kumuudhi rais maana kutoa taarifa za machafuko na mauaji kwa kile kilichotokea nchini ni dhambi.
 
Back
Top Bottom