Kuna App inashinda hii..?

Kuna App inashinda hii..?

Nangose 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
7,202
Reaction score
6,781
Hivi wakuu, kuna App inashinda hii kwa kuonesha majengo au maeneo mbalimbali bila kuacha kitu chochote.. hii App nakubali sana na inanisaidia kupima maeneo shambani kwangu kwa Acre/hekta pia nikisafiri nikiwa mji wowote inanifikisha eneo lolote bila kuhitaji Maafisa usafishaji(Bodaboda)
Inapima umbali pia.
Ni app muhimu sana hii kwangu
markup_1000024811.png
 
Wale tunaofanya kazi kwenye field ya Uhandisi, hasa eneo la Ujenzi (civil engineering) tumekuwa tukiitumia hiyo app Kwa muda mrefu sasa

Mradi wa kilomita 30 ama 100 za Lami ama Mradi wa Maji, ndani ya Siku mbili umeshakusanya data na kuanza usanifu ofisini.

Utakuwa umechelewa kuijua tu
 
Itumie tumie baadae tuulize 'nyinyi mnatumia App gani' kwasasa tukuache ukute unazoe
 
Wale tunaofanya kazi kwenye field ya Uhandisi, hasa eneo la Ujenzi (civil engineering) tumekuwa tukiitumia hiyo app Kwa muda mrefu sasa

Mradi wa kilomita 30 ama 100 za Lami ama Mradi wa Maji, ndani ya Siku mbili umeshakusanya data na kuanza usanifu ofisini.

Utakuwa umechelewa kuijua tu
Sure. Kwenye pipe laying unyama sana. Full desk work data zinapikika.
 
Sure. Kwenye pipe laying unyama sana. Full desk work data zinapikika.
Hakika Mkuu

Teknolojia imerahisisha sana kazi ya design

Zamani hiyo kazi ya Ukubwa huo ingefanywa labda Kwa miezi 3 hadi 4

Lakini kwasasa naweza kuifanya Kwa Siku kadhaa tu 🤗
 
Back
Top Bottom