Kuna ambaye kakutana na tatizo kama hili tusaidiane

Juma sele

Member
Nov 12, 2020
54
24
Mim nilichaguliwa na TAMISEMI mwaka 2019 kwenda chuo cha utabibu maswa, lakini sku verify kua ntafika chuoni apo kutokana na kutokua na ufahamu na simu yenye kushika internet. Kama na ww umekutana na tatizo kama hili weka mawazo tuone tunafanyeje au wenye ushauri tusaidie
 
Back
Top Bottom