Juma sele
Member
- Nov 12, 2020
- 54
- 24
Mim nilichaguliwa na TAMISEMI mwaka 2019 kwenda chuo cha utabibu maswa, lakini sku verify kua ntafika chuoni apo kutokana na kutokua na ufahamu na simu yenye kushika internet. Kama na ww umekutana na tatizo kama hili weka mawazo tuone tunafanyeje au wenye ushauri tusaidie