Juma sele
Member
- Nov 12, 2020
- 54
- 24
Mimi kwa majina naitwa JUMANNE SELEMAN JUMANNE
NI kijana wa umri wa miaka 17,
Nmemaliza kidato cha nne mwaka jana 2019, Baada ya hapo nlichaguliwa na TAMISEMI kujiunga na chuo cha utabibu Maswa- SIMIYU.
Sasa, sku naenda kureport chuoni nkaambiwa na msajili kua sku verify( confirm) kua mimi ni mwanafunzi wa chuo kile
Sasa naomba kwa anae jua anipe utaratibu hua unaendaje apo ndugu zangu samahn jamn kwa anaejua naombeni msaada hapa
Au anishauri kupitia hii namba 0782540847
Note: zawad nono itakuepo kwa yule atakae toa msaada wowote kwa ajili yangu
NI kijana wa umri wa miaka 17,
Nmemaliza kidato cha nne mwaka jana 2019, Baada ya hapo nlichaguliwa na TAMISEMI kujiunga na chuo cha utabibu Maswa- SIMIYU.
Sasa, sku naenda kureport chuoni nkaambiwa na msajili kua sku verify( confirm) kua mimi ni mwanafunzi wa chuo kile
Sasa naomba kwa anae jua anipe utaratibu hua unaendaje apo ndugu zangu samahn jamn kwa anaejua naombeni msaada hapa
Au anishauri kupitia hii namba 0782540847
Note: zawad nono itakuepo kwa yule atakae toa msaada wowote kwa ajili yangu